The Clinical Pharmacist
Member
- May 13, 2014
- 90
- 100
Huyo apigwe chini mzee hakunaga utani wa namna hiyoKwaiyo hakuwa na mimba
Huyo apigwe chini mzee hakunaga utani wa namna hiyoKwaiyo hakuwa na mimba
Sina uwezo wa kulea kwa sasaKwanini mkuu!!!
Ntaendelea kumpeleleza ikishindikana basi,, lakini me hofu yangu labda kuna jamaa lilkuwa linamega, japo ameniaminisha kwa 100% kuwa mimba ni yangu.
Wanawake mnaamini mpaka mbegu za mnyonyo na mimba zinakamata hamuelewekagi nyie unajikuta paap baba kijacho.Kweli unaamini coca cola inazuia mimba au umeamua kujitoa ufahamu?
Vipi kuhusu mbegu za mnyonyo.Mhh coca cola jmn sio kwa tango pori hilo...
TushawashtukiaHahahahah!!
Wajanja saaaana Hawa!!!
Bado mko wote ?Baadae alikuja kuniambia kuwa hana mimba eti alikuwa ananijaribu!!!!