Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
hizo kazi wanapewa muhadans ambao wana shahada za madrasa....Machinjio yote nchini wamejaa ndugu zetu wa wanamuhammad, Ukienda chuo kikuu cha Kiislaam cha Morogoro kuanzia wanafunzi hadi uongozi wa juu ni islaam tupu! wauza icecream za bara barani na baiskeli wote wana suruali fupi fupi na madevu halina ubishi hilo