Nimesikitishwa sana Leo na mambo ya udini

Nimesikitishwa sana Leo na mambo ya udini

Status
Not open for further replies.
schmidt

Ukitaka kujua DINI jifunze mwana, falsafa ya utatu hata kwawanaojua huwa inawapa tabu kuielezea fuatilia mzee.
 
schmidt

Ukitaka kujua DINI jifunze mwana, falsafa ya utatu hata kwawanaojua huwa inawapa tabu kuielezea fuatilia mzee.

Hilo kwenye red bold ni kosa. Kuto juwa kwako hilo ni tatizo lako. It seem you don't know a thing.
 
Wakristo wa tanzania hawana akili,ulaya dini inayoongoza kwa kukua ni uislam,kazi yenu nuyazungumza mambo musiyo yafahamu,munakaririshwa tu,hamu hoji..huo sio uislam,uislam ni dini ya hoja na unauliza kila swali,basi kama uislam ulitungwa na muhammad(s.a.w) jamaa alikua ni intelligent sana,kwasbb yeye alijua maji ya bahari mbili hayachanganyiki bila experiment,alijua kama dunia imetokana na the big bang,alijua namna mtoto anavyoumbwa kuanzia mimba inavyoingia mpaka mtoto anazaliwa,na vitu vingi vimo kwenye qur-an ambayo modern science ndio inavigundua,tofauti na biblia ambayo haikufahamu kwamba dunia sasa itakua vipi,hivyo inahidaji mikono ya watu kila mara wairekebishe ili iendane na mabadiliko ya dunia,inamaana huyo mungu wenu hakujua kizazi cha mwisho kitakutana na mambo gani?maana kila siku wanawatengenezea sheria binaadam wenzenu(walawiti),tusijadili dini kwa namna watu waitendavyo,tusome vitabu vyao ndio tutapata kuwafahamu wahusika.uislam ni dini ya hoja na sio kumeza kwa nguvu ya roho mtakatifu,kama roho mtakatifu hajakuingia basi hauelewi huko ni kuwafanya wajinga nyinyi,kila mtu anahaki ya kuelewa kila kitu.

Mkuu unaweza kutuletea ushaidi kusaidia hayo maneno kwenye bold nyeusi?
 
Wakristo wa tanzania hawana akili,ulaya dini inayoongoza kwa kukua ni uislam,kazi yenu nuyazungumza mambo musiyo yafahamu,munakaririshwa tu,hamu hoji..huo sio uislam,uislam ni dini ya hoja na unauliza kila swali,basi kama uislam ulitungwa na muhammad(s.a.w) jamaa alikua ni intelligent sana,kwasbb yeye alijua maji ya bahari mbili hayachanganyiki bila experiment,alijua kama dunia imetokana na the big bang,alijua namna mtoto anavyoumbwa kuanzia mimba inavyoingia mpaka mtoto anazaliwa,na vitu vingi vimo kwenye qur-an ambayo modern science ndio inavigundua,tofauti na biblia ambayo haikufahamu kwamba dunia sasa itakua vipi,hivyo inahidaji mikono ya watu kila mara wairekebishe ili iendane na mabadiliko ya dunia,inamaana huyo mungu wenu hakujua kizazi cha mwisho kitakutana na mambo gani?maana kila siku wanawatengenezea sheria binaadam wenzenu(walawiti),tusijadili dini kwa namna watu waitendavyo,tusome vitabu vyao ndio tutapata kuwafahamu wahusika.uislam ni dini ya hoja na sio kumeza kwa nguvu ya roho mtakatifu,kama roho mtakatifu hajakuingia basi hauelewi huko ni kuwafanya wajinga nyinyi,kila mtu anahaki ya kuelewa kila kitu.

Can you please correct the words in blue.
 
Endeleeni na udini sie tuendelee kutafuta good life. Hapa tz waislam na walokole hasa ni wakorofi sana. Imani zao sijui wanazipata wapi. Sie wakatoliki haaaaaa mambo bomba uwe muislam seminary ukitaka utasoma uwe mlokole n.k. Sie ndo tuna passess za kwenda mbinguni bwana hatuna complications, wacha tuendelee kula maji ya dhahabu na mbuzi wetu bila kusahau music kwa sana yaaani full kufurahi from earth to heaven.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom