Nimesikitishwa na Rais Kikwete

Nimesikitishwa na Rais Kikwete

kwani kila linavyorushwa bomu lazima jk aende mbona lile la mbagala na Arusha hakwenda lakini hukusema umbea mwingine bwaba.
 
Mkuu ulitegemea nini kwa rais dhaifu?yeye ni rais wa kula bata kuipiga picha na kina 50 cent kubembea na kucheka cheka tu.Mabom ya zenji haya muhusu kwanza kule kuna rais wao na ile ni nchi nyingine hana time nayo kabisa.
 
kwani kila linavyorushwa bomu lazima jk aende mbona lile la mbagala na Arusha hakwenda lakini hukusema umbea mwingine bwaba.
Mkuu, kuna watu wana akili za ajabu sana
 
Mkuu ulitegemea nini kwa rais dhaifu?yeye ni rais wa kula bata kuipiga picha na kina 50 cent kubembea na kucheka cheka tu.Mabom ya zenji haya muhusu kwanza kule kuna rais wao na ile ni nchi nyingine hana time nayo kabisa.
Na huyu mwenyekiti wenu anayeenda kufanya ufuska Dubai utamuitaje?
 
watu wameshindwa kwenda kumzika mama zitto wakaenda kwenye mikutano ya kisiasa hujasema hili la zanzibar ndiyo pekee umeliona wakemee kwanza mbowe na slaa kutokwenda kumzika mama yake zitto na kwenda majukwaani kueneza uongo.
 
Rais wetu ni mzuri tu ,,alafu pia jana hakua anacheza makida alikua anazindua wimbo unaohamasisha uzalendo ....ili udumu hivi bila amani maneno haya mngekua mnayasema ...tukio la jana lina maana sana kwa watanzania wote na la historia na aliongea ya maana ..na wasanii walionyesha jinsi gani wanaiaminia tz na kampeni zao za kusambaza upendo tuendeleze uzalendo ..na zile perfomance n za burudani tu...na kama unavojua wasanii n watu tunaowapenda sana so alisema ni rahisi zaidi kwa cc kuwaelewa wao than wanasiasa ..ok? Na kuhusu hilo tukio la juz zenji c hilo eneo lina mkuu wa mkoa,mwenyekiti mjumbe ,meyor ,kituo cha polisi ,wapelelezi wote hao wanfqnya nn c kazi yao hiyo....atcheni lawama nyie wenyewe familia zenu znawashinda mtaweza kuongoza maelfu ya watu?
 
Mkuu ulitegemea nini kwa rais dhaifu?yeye ni rais wa kula bata kuipiga picha na kina 50 cent kubembea na kucheka cheka tu.Mabom ya zenji haya muhusu kwanza kule kuna rais wao na ile ni nchi nyingine hana time nayo kabisa.

Akili ya jk nyie hata kama mtajikusanya familia nzima hakutana kumfikia hata siku moja tena ukizingatia akili zenu ziko nusu nusu vile ndiyo kabisa.
 
Mmmh mlitaka mmfanye nini
Walipanga wafanye mashambulizi Dodoma na Zanzibar ili kupinga muungano. Waliposhindwa Dodoma ndo wamekimbilia kumlaumu Rais wakati wanajua kuwa Zanzibar kuna Rais wao
 
Kwani wasanii sio raia wa Tanzania hadi uone hakukuwa na umuhimu wa Mheshiwa Rais kushiriki tamasha hilo?

sikushangai maboso kwetu maana yake ni mayai yaliyooza.
 
Muulize kwanza mbowe na slaa kuwa kwa nini hawajaenda kuzika mama zitto?
 
Walipanga wafanye mashambulizi Dodoma na Zanzibar ili kupinga muungano. Waliposhindwa Dodoma ndo wamekimbilia kumlaumu Rais wakati wanajua kuwa Zanzibar kuna Rais wao

kamwe hawataweza kwa sasa ipo haja ya kuwaandama mpaka waishe wote wahuni kabisa hawa.
 
Muulize kwanza mbowe na slaa kuwa kwa nini hawajaenda kuzika mama zitto?
Swali zuri sana hili. JK alimtembelea mama Zitto akiwa mahututi. Ila hawa mijamaa walivyo na roho ngumu hata salamu za rambirambi hawajatoa
 
kamwe hawataweza kwa sasa ipo haja ya kuwaandama mpaka waishe wote wahuni kabisa hawa.
Mkuu, na safari hii nginya nginya mpaka watokomee kabisa wahuni hawa
 
Rais wetu ni mzuri tu ,,alafu pia jana hakua anacheza makida alikua anazindua wimbo unaohamasisha uzalendo ....ili udumu hivi bila amani maneno haya mngekua mnayasema ...tukio la jana lina maana sana kwa watanzania wote na la historia na aliongea ya maana ..na wasanii walionyesha jinsi gani wanaiaminia tz na kampeni zao za kusambaza upendo tuendeleze uzalendo ..na zile perfomance n za burudani tu...na kama unavojua wasanii n watu tunaowapenda sana so alisema ni rahisi zaidi kwa cc kuwaelewa wao than wanasiasa ..ok? Na kuhusu hilo tukio la juz zenji c hilo eneo lina mkuu wa mkoa,mwenyekiti mjumbe ,meyor ,kituo cha polisi ,wapelelezi wote hao wanfqnya nn c kazi yao hiyo....atcheni lawama nyie wenyewe familia zenu znawashinda mtaweza kuongoza maelfu ya watu?

du! we nawe mTanzania? Haya amka, kana we uso
 
Back
Top Bottom