ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,864
Dada yangu Faizafoxxy mbona hvyo tena waniita punguani wakati hata mimi nimemshangaa mleta mada mabomu wajirushie wenyewe halafu watake kumchosha Jk wetu. Mbona hata mimi nimeisifu na kuipenda kazi mpya ya Jk ya upromota wa wasanii na kuahidi kutuletea wasanii wakubwa toka marekani kama njia moja wapo yakuvutia watalii nchini mwetu. Nampongeza sana raisi wetu kwa kua mbunifu wakutumia kodi za wananchi wake vizuri kwenda dodoma kuangalia viuno na milegezo ya vijana wake.
Labda dada yako Faiza anakushangaa haujampinga Kikwete leo.