Nimeshuhudia mtu akikata roho LIVE

Imenikumbusha ex wangu alivyookoa maisha yangu, she was just alone fighting for my life no friend (ambao ninao wengi sana), No ndugu but it was only her.Nikikumbuka zile moments najikuta nalia kweli ulinipenda sana sana J.

Japo upo na mwanaume mwingine lakini tambua nakuthamini kupita kiasi and i wish nisingekufanyia upuuzi nisamehe sana and i wish you happiness huko uliko and just know niko hapa if you need my help.
Love you!!!


Ila wanaume jamani!hvi ni laana au?mna nn nyie?
 
Itakuwa mount meru tu pale wahudumu ni makaksi hatari! Unamuambia nesi "jamani naomba ukamuangalie mgonjwa wangu hali yake imekuwa mbaya"anakuambia "kwa hiyo mimi nikambebe mgongoni ndio ajisikie vizuri? Si nimekwambia subiri?" yaani heri ya waganga wa jadi!!

😂😂😂😂😂😂sichek kwa mazuri dah!hii ndo Tz bwana..dah
 
Itakuwa mount meru tu pale wahudumu ni makaksi hatari! Unamuambia nesi "jamani naomba ukamuangalie mgonjwa wangu hali yake imekuwa mbaya"anakuambia "kwa hiyo mimi nikambebe mgongoni ndio ajisikie vizuri? Si nimekwambia subiri?" yaani heri ya waganga wa jadi!!
Aisee mkuu naunga mkono hoja,sina hamu na Mount Meru Hospital, mwezi January nimepoteza mtoto hapohapo Mount Meru,Mgonjwa unamuacha saa 12:30 jioni,unarudi kesho yake unauliza daktari alipita unaambiwa kwa usiku mzima ni nesi peke yake alikuja kuchungulia mara moja,bila kuwa na ukaribu hiyo hospital unakufa mapema,bonge la hospital huduma za hovyo sijapata kuona.
Itakuwa mount meru tu pale wahudumu ni makaksi hatari! Unamuambia nesi "jamani naomba ukamuangalie mgonjwa wangu hali yake imekuwa mbaya"anakuambia "kwa hiyo mimi nikambebe mgongoni ndio ajisikie vizuri? Si nimekwambia subiri?" yaani heri ya waganga wa jadi!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
OMG..ww yalikukuta yepi..yan jaman mie nianze tu mm kuf
Nilimhudumia mshua mpaka last stage, hao manesi wa hospitali kama wanavyosemwa ndivyo walivyo, tena kuna wengine watataka wakutoe usilale na mgonjwa wakati hali yake inahitaji usimamizi halafu wenyewe wanaenda chumba kingine huko, fikiria upo na mgonjwa ambaye anatumia oxygen wakati mwingine anajisahau(kama kachanganyikiwa) anavua ule mpira :(:( ni mengi sana lakini kikubwa idara ya afya hapa kwetu bado ni mbovu sana
 
Broo wanaohangaika ni wazazi(hasaa mama),atakupenda ata ukiwa kichaa bado atahangaika na wew mpaka mwisho..hao wengine wote vigezo vitamata(pesa,elimu,status) ila bi mdashi Kama alikutoa tumboni mwake wew wake tu ata uwe nani...wengine ndo wanafuata ila wazazi ndo upendo wa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimhudumia mshua mpaka last stage, hao manesi wa hospitali kama wanavyosemwa ndivyo walivyo, tena kuna wengine watataka wakutoe usilale na mgonjwa wakati hali yake inahitaji usimamizi halafu wenyewe wanaenda chumba kingine huko, fikiria upo na mgonjwa ambaye anatumia oxygen wakati mwingine anajisahau(kama kachanganyikiwa) anavua ule mpira :(:( ni mengi sana lakini kikubwa idara ya afya hapa kwetu bado ni mbovu sana
Maskini..hii nchi imesababisha vifo gya watu wasio na hatia ..inaumiza sana..sasa hv ht panadol unaweza kukosa hosp..pole mno
 
Kwann watu wanaogopa kifo?? Ni sababu tuliumbwa kuishi nasio kufa..dhambi ndio imetuleta hapa.

NDUGU zangu, niwambie KIFO HAKIZOELEKI HATA SIKU MOJA.

kwa asili ya shuguli yangu, nmeshudia vifo vingi ,,kuna wakat unajua kabisa huyu hana hata lisaa limoja, unawaza, kweli mdada huyu/kaka uyu ndo anaenda kupoteza uhai???


KWA UFUPI, KAMA KUNA KIPINDI AMBACHO MWANADAM UNATAKIWA USALI SANA NI IKI KIPINDI TULICHOPO..kwa maana ongezeko la vifo nikubwa mnoo jamaaa.

Uhai usitupe kiburi, TUMRUDIE MUNGU, ILI TUNAPOKUFA, BASI TUWE UPANDE WAKE .
 
Mgonjwa amekata roho, wataalamu ndio wanajazana wodini, sijui wanafanya nini.
Mtu anapokuwa taabani, ndio ilikuwa muda wa kuwa karibu naye. Sisi hatujui, lakini wao wangejua kuwa mapigo ya moyo yanaenda mbio au hawezi kuhema, haoni vizuri, pengine kilichotakiwa ni oksijeni tu, lakini wataalamu wanauchapa usingizi, Hamna msaada wowote, si heri angekuwa nyumbani kwake?
Wataalamu tuwe na Utu. Hatulipwi vizuri ni kweli,pengine ndio sababu badala wawe macho, wao wanalala, kwa kuwa nyumbani huko hawakujipumzisha wakiwa sehemu nyingine kuganga njaa, hivyo wanakuwa wamechoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini homeboy, mbona na wewe hujasaidia chochote zaidi ya maneno matupu, mfano ungeweza kuripot polisi au kutoa wazo wabadili hospitali au ikibidi kabisa kuwatukana madokta kiume, kumwambia mama akamuite nesi huku wewe mwanaume umesimama, binafsi nakuona hukutimiza uliyopaswa kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom