Ni Baba yake yule asiyeshndwa kaziNI BASHITE.
Nakupa ule mji uupendao. Haya tupe angalau dondoo.Kama humjui ' Mtu ' basi yawezekana Wewe siyo Mtanzania mwenzetu.
umenishinda tabiaTetetetetetete na mtoto wake bwana yule wote wamekosa raha kabisa kwasababu walijua watanzania bado mazuzu siku hizi akiongea sekunde mbili anafuta makamasi tena kwa vidole na kujichokonoa na kidole mapuani kisha kushika raia mikono bora Rais wa A.town yale maono yatimie tu .
Swissme
mbona afande kipensi pia alipata grid ya taifa.Kiukweli sizonje ana tatizo la moyo na hataki kwenda check up itamkosti sn mbeleni
Hahaaa muombee ....maono ya rais wa atwn yanakujaumenishinda tabia
Akikutajia makazi yake yatazingirwa.Tutajie huyo 'mtu' ili tufunge na kuomba kwa ajiri yake, maana ili maombi yafike kwa mlengwa lazima tutaje jina lake
Ni Kama mchuma janga... !Ameyataka mwenyewe.
Jamani jamani mimi nawarudisha nyuma mhesabu watu waliomsema vibaya Lowasa na mahala walipo. Gombani alitweet na hakumaliza hata miezi miwili akago, Mwenye chama cha Tanganyika DP naye akafata, na wengine mnaweza kuwajaza. Pushups zilikuwa za kuonyesha kuwa mnapoteza kura kuchagua marehemu mtarajiwa. Mtarajiwa anadunda na yupo kimya na hajibu matusi yoote anayopewa humu kila siku. Mtu anawapoteza mpaka watoto wetu ambao wameamua kusema ukweli. Roma viva Roma, Saa Nane, na wengine ambao tumeambiwa hivi leo na group lote la Roma. Mtu, we Mtu wee mimi sisemi mengi ila hata Mobutu hakuishi mpaka leo ingawa aliiba kila mali ya congo. Mijitu ipo mingi na Putin akiwemo. Kawasweka watu ndani eti kupinga rushwa.Apumzike mahali pa baya MTU
Tena jina lake likifupishwa linashabihiana na la kipa mmoja matata sana wa PAN na aliyekuwemo kwenye kikosi kilichoiwakilisha Tanzania huko LAGOS kwenye michuano ya mataifa huru ya AFRIKA 1980 , amekuwa kocha wa makipa wa klabu ya yanga na taifa stars muda mrefu sanaTulia vizuri sana Mkuu na zisome vizuri mno hizo ' naniliu ' zangu saba ( 7 ) hapo kisha ' jiongeze ' kiumakini sana utamjua huyo ' Mtu '. Halafu huyo ' Mtu ' akiiona tu hiyo ' Avatar ' yako hapo anazidi kukasirika, kununa na kuumia mno kutokana na yaliyomkuta!
Si tulimuombea akatuona ma-sakala.... labda tumuombee njaaMtafute katika mitandao au muangalia katika tv stations mbalimbali au mbahatishe akiwa ' anatiririka ' mahala kisha mwangalie kwa jicho lako la ' tatu ' kabisa na lenye umakini wa kutukuka utagundua kuwa huyu ' Mtu ' hivi sasa......
Jamani naomba wote kwa pamoja tukiwa tunasali kumwomba Mwenyezi Mungu baraka zake tafadhali tumweke pia katika maombi yetu huyu ' Mtu ' kwani binafsi naanza kuogopa yasije kutukuta ya yale ' Watu ' wa Nigeria, Zambia na Malawi.
- Hayupo vizuri Kisaikolojia.
- Hana tena ile nuru aliyokuja nayo.
- Anapungua sana mwili ( kwa lugha nyepesi ni kwamba anakonda )
- Inaonekana kuna kitu anakijutia moyoni mwake.
- Amekuwa mpole halafu mwangalifu sana hata akiwa anazungumza.
- Analazimisha Kicheko lakini kiuhalisia hana raha wala amani kabisa.
- Anaonekana anaumwa au kwa sasa hayupo vizuri Kiafya.
Pole sana ' Mtu ' na naomba ujikaze tu tutafika ' mdogo mdogo '.