GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,542
- 127,831
- Thread starter
- #21
Huyo ni mtu hivihivi kinachotokea hakinishangazi
Mkuu ' Mtu ' anahitaji sana maombi yako lakini ujue!
Huyo ni mtu hivihivi kinachotokea hakinishangazi
Ajutie yake hadharani, kisha tumpe kitubio akishatubu apumzike!Oya hivi kumbe Watanzania tumefikia tumefikia roho mbaya hii? Jamani kwanini hatutaki kabisa kumuombea ' Mtu ' baraka ili tuvuke nae vizuri na hili Gurudumu zito? Acheni hizo bhana ' Mtu ' anahitaji maombi yetu hivyo ' tusimtose ' kihivyo!
hahahahaha sema MTU akiita press anatia huruma na vile viblog anavyoita
....
Hujazuiwa kumuombea ...muombee kivyakoJamii yetu imekosa mwelekeo; akili zetu zinaendeshwa na mambo ya kipuuzi tu ambayo wala hayana faida kwetu!
Kwani ungeingia faragha ukaomba kwa Mungu kimya kimya (hata mkono wako wa kushoto usijue) ili amnusuru na hayo mambo uliyoona, kulikuwa na shida gani?
Ajutie yake hadharani, kisha tumpe kitubio akishatubu apumzike!
Akwendreee....Watu mna roho mbaya! Jamani ' Mtu ' anahitaji maombi yetu tafadhalini.
Lin watanzania wameacha uzuzu??Tetetetetetete na mtoto wake bwana yule wote wamekosa raha kabisa kwasababu walijua watanzania bado mazuzu siku hizi akiongea sekunde mbili anafuta makamasi tena kwa vidole na kujichokonoa na kidole mapuani kisha kushika raia mikono bora Rais wa A.town yale maono yatimie tu .
Swissme
Kama ni ya kumpleka motoni hayo nitafanya ...usiniulize kwanini kwetu ni Kagera kwenye matetemekoMkuu ' Mtu ' anahitaji sana maombi yako lakini ujue!
Sikuja kuitengua torati Bali kuitimiliza...JINO KWA JINO JICHO KWA JICHO. ..Jamii yetu imekosa mwelekeo; akili zetu zinaendeshwa na mambo ya kipuuzi tu ambayo wala hayana faida kwetu!
Kwani ungeingia faragha ukaomba kwa Mungu kimya kimya (hata mkono wako wa kushoto usijue) ili amnusuru na hayo mambo uliyoona, kulikuwa na shida gani?
Kamuhulize baba bashite pale magogoniLin watanzania wameacha uzuzu??
Mwalimu wangu wa chuo ALIWAHI kukufundisha kuwa mtu akikusumbua na ukashindwa mbinu zote za kumdhibiti kabla ya kipindi chake cha kujunyanyasa kuisha basi mfanyie maombi apewe BIOLOGICAL RETIREMENT......
nadhani hata Malawi Zambia na Nigeria waliwaombea WATU WAO hiyo retirement.
Za kuambiwa changanya na zakoTutajie huyo 'mtu' ili tufunge na kuomba kwa ajiri yake, maana ili maombi yafike kwa mlengwa lazima tutaje jina lake
Apumzike mahali pa baya MTUWatu mna roho mbaya! Jamani ' Mtu ' anahitaji maombi yetu tafadhalini.