Nimeshindwa kujizuia jamani

Nimeshindwa kujizuia jamani

Nawe Nakupa hongera kwa kuweza kuhimili vishindo vya mibaba wa humu ndani mana mpaka umejua kuna kumeza dawa Baada ya shughuli 😎
Ila Mbabani unapenda kujiamulia mamboo. Sasa ukizini na mtu ambaye hujatulia kifuatacho si magonjwa
 
Shikamoon wakubwa zangu

Unajua kuna namna ukipita, au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta, huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.

Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri. So kuna kitu nakuta nakikosa, mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza, mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.

Tungekuwa wanawake tunatongoza, naona leo ningetafuta lakini, si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa, kuwasha si kuwasha viungo vimekaza, kazi zitanishinda leo.

Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
Hellow from that side
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom