Mtaachana
JF-Expert Member
- Mar 27, 2025
- 1,946
- 6,582
Nikitumia neno suruwali watu watasema nmeleft group so kutumia neno sket iyo ni code mamnyong'odenivae sketi niende kuuza uji? basi huyo hakua mimi
Nikitumia neno suruwali watu watasema nmeleft group so kutumia neno sket iyo ni code mamnyong'odenivae sketi niende kuuza uji? basi huyo hakua mimi
Achana nao hao wakulima kutoka mpanda mrembo ngoja nije PM tuyajengeKwahiyo kama nimejiunga 2025 ndiyo kigezo cha kuniona mgeni😂
Think twice,
Think different.
Shikamoon wakubwa zangu
Unajua kuna namna ukipita, au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta, huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.
Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri. So kuna kitu nakuta nakikosa, mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza, mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.
Tungekuwa wanawake tunatongoza, naona leo ningetafuta lakini, si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa, kuwasha si kuwasha viungo vimekaza, kazi zitanishinda leo.
Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
Shikamoon wakubwa zangu
Unajua kuna namna ukipita, au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta, huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.
Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri. So kuna kitu nakuta nakikosa, mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza, mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.
Tungekuwa wanawake tunatongoza, naona leo ningetafuta lakini, si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa, kuwasha si kuwasha viungo vimekaza, kazi zitanishinda leo.
Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
win_one wewe huna baya unaweza kuwa rafiki na msiri wangu ,na uko very bright,mwandiko wako,pamoja na kupangilia maneno nimejua hilo Mungu wa mbinguni akubariki.hapana kaka sijashindwa ila natafta namna ya kumuingia si umemuona alivyo wa moto😥 huwezi kwenda kichwa kichwa😅
Mimi mbona km umenyooka nakupa maua yako. Ila km vumbi jingi wala sijichoshi..!! 😹Kwenye ucheshi na ujasiri yupo vizuri ila apo kwenye urembo, bado ujanishawishi
Hivi tangu lini nyie wadada mkaanza kusifiana
Sasa Jirani wewe si uko abroad lakini?Jirani niunganishe na huyu Marry Diana naona inaonekana mnapatana sana
win-one kazi imemshinda,kaniacha kwenye mataa.
Marry hataweza maisha ya huku,kisha zowea asubuhi apige umbea na majirani.Sasa Jirani wewe si uko abroad lakini?
Merry yupo bongo au nimpakie kwenye Emirates aje huko huko? 😹😹
Tena Merry hapendi pesa km sisi mabinti wa mataifa.. Merry km jina lake mama wa Yesu mpole, mzuri na nyash ya kuanzia maisha anayo ushindwe wewe..!! 😹
Umbea atakua anaingia zoom au club house kuzogoa atatukuta kule wambea wenzie..Marry hataweza maisha ya huku,kisha zowea asubuhi apige umbea na majirani.
😀😀
amina Marry Diana ubarikiwe pia mumy ❤
Private! can you behave?Nambie laazizi issue gani hiyo?
Iwe ya pesa sasa..!!
Huyo uliyemtaja ni nani hapa jamiiforum,Nahisi kitu akipo sawa haiwezekani uzi uwende hewani isiwepo ata like ya Seran
Marry Diana hujambo?Huyo uliyemtaja ni nani hapa jamiiforum,
Ni admin,au ana msaada wowote,au ana hisa hapa jf au tuseme ukianzisha Uzi hautembei bila yeye.
Mkuu hakuna wa muhimu kuliko wengine ni sawa na Mimi nikifa Leo maisha yataendelea tu Kwa wengine
BadoMarry Diana hujambo?
Vipi ulifanikisha jambo lako?
Nauliza kwa nia njema tu,
Usinifokee naumwa sikio.
Bibie unaonekana ni mkavu 😃Huyo uliyemtaja ni nani hapa jamiiforum,
Ni admin,au ana msaada wowote,au ana hisa hapa jf au tuseme ukianzisha Uzi hautembei bila yeye.
Mkuu hakuna wa muhimu kuliko wengine ni sawa na Mimi nikifa Leo maisha yataendelea tu Kwa wengine
Mkavu kivipi my 😂Bibie unaonekana ni mkavu 😃
Okay, ntakucheck..!!Private! can you behave?
Nipe namba ya Meri inbox baby niko na package yake maalumKwani wewe ulitaka awe na maajabu gani?
Merry jasiri, mrembo na mcheshi..!!
Umetisha sana mamaake,🥰,umeweka chumvi kwenye kidondaHuyo uliyemtaja ni nani hapa jamiiforum,
Ni admin,au ana msaada wowote,au ana hisa hapa jf au tuseme ukianzisha Uzi hautembei bila yeye.
Mkuu hakuna wa muhimu kuliko wengine ni sawa na Mimi nikifa Leo maisha yataendelea tu Kwa wengine