Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nina mpenzi wangu week mbili zilizopita aliniomba ruksa kuna msiba mtaani kwao ambako amezaliwa na amekulia kuna kijana mmoja alikuwa amefariki kwa ajari basi nikamruhusu akaenda nami pia akaniomba nimsindikize tukaenda wote.
Sasa tangu huu msiba umalizike mpenzi wangu amekuwa ana huzuni sana kila akikaa ni story kuhusu marehemu muda mwingine unamuona anasikitika sana kuhusu familia aliyoiacha marehemu yaani nashangaa eti anakosa furaha kila akimkumbuka marehemu.
Na huyo marehemu sio ndugu yake ila waliukuwa wanaishi majirani tuu sasa hapa ndipo nashidwa kuelewa why awe huzuni kiasi huyu mwanamke na huzuni za marehemu nashidwa kumuelewa.
Sasa tangu huu msiba umalizike mpenzi wangu amekuwa ana huzuni sana kila akikaa ni story kuhusu marehemu muda mwingine unamuona anasikitika sana kuhusu familia aliyoiacha marehemu yaani nashangaa eti anakosa furaha kila akimkumbuka marehemu.
Na huyo marehemu sio ndugu yake ila waliukuwa wanaishi majirani tuu sasa hapa ndipo nashidwa kuelewa why awe huzuni kiasi huyu mwanamke na huzuni za marehemu nashidwa kumuelewa.