MJASIRIA MALI
Member
- Aug 13, 2012
- 79
- 43
Heshima mbele.
Wandugu nimeshasajili kampuni kamili LTD by share. Lengo lake muhimu ni kufanya kazi ya udalali wa Nyumba za kupanga,kuuza, viwanja mashamba hasa mkoa wa pwani. Tunategemea kuweka magari baadaye.
Hata hivyo, nimekumbana na Changamoto ya madalali wa chini ya mti ambao hawataki kunipa ushirikiano. Wengi wameniambia live kwamba tukishirikiana na wewe na baadaye wateja wakijua ofisini kwako watakuwa wanakuja moja kwa moja kwako na sisi itakula kwetu. Ni kama wanaambina sasa hapa ubungo tena sipati ushirikiano wao. Kwa unyenyekevu sana naomba ushauri wenu nitokeje?
Pili, nina tatizo la matangazo. Siwezi kutumia magazeti redio na TV kwa sasa kwa sababu ya kiuchumi. Kidogo kidogo nilkuwa naanza kuweka broshure ( black and white) si nzuri sana lakini pia haijaniletea matokea mazuri. Naombeni ushauri wenu kabla sijakata tamaa. Mlioanzisha biashara mlivukaje changamoto hizi?
Wandugu nimeshasajili kampuni kamili LTD by share. Lengo lake muhimu ni kufanya kazi ya udalali wa Nyumba za kupanga,kuuza, viwanja mashamba hasa mkoa wa pwani. Tunategemea kuweka magari baadaye.
Hata hivyo, nimekumbana na Changamoto ya madalali wa chini ya mti ambao hawataki kunipa ushirikiano. Wengi wameniambia live kwamba tukishirikiana na wewe na baadaye wateja wakijua ofisini kwako watakuwa wanakuja moja kwa moja kwako na sisi itakula kwetu. Ni kama wanaambina sasa hapa ubungo tena sipati ushirikiano wao. Kwa unyenyekevu sana naomba ushauri wenu nitokeje?
Pili, nina tatizo la matangazo. Siwezi kutumia magazeti redio na TV kwa sasa kwa sababu ya kiuchumi. Kidogo kidogo nilkuwa naanza kuweka broshure ( black and white) si nzuri sana lakini pia haijaniletea matokea mazuri. Naombeni ushauri wenu kabla sijakata tamaa. Mlioanzisha biashara mlivukaje changamoto hizi?