nimeshapata

Unajua Paxman U-serious unakujaje,
1. Endapo utaandika ombi lako pasi na utani NA
2. Utakuwa na kauli nzuri ktk majibu yako.
Naamini ukifanikisha hayo,
Utafanikiwa Believe or Not.
Mbona Nas ameweza?
Try Paxman.
Bado nipo nipo kwanza nilisha tumikia sana mapenzi ya kweli nikaishia kuumizwa tu.
Acha kwanza ninenepe kwa kuwa single! Free Soul & free lifestyle Madame B
 
Last edited by a moderator:
napenda kutoa taarifa kwamba nimefanikiwa kupata mke mtarajiwa hapa jf kupitia bango ambalo niliweka,nilipokea pm nyingi na kupitia hizo malkia mmoja amepatikana.aidha napenda kuwatia moyo wote ambao walini pm kwamba wasikate tamaa ktk kutafuta wenza.niwaombe radhi pia wale ambao walikosa majibu kutokana na mimi kutowepo wakaishia kulaumu.
Nawapongeza na kuwashukuru mods pia kwa ukumbi huu.wana jamii wote kwa ujumla mutarajie kupata kadi za harusi muda wowote mambo yakishaiva.
Asanteni sana.
that was fast!
ngoja summer isogee kidogo na miye nfunguke..
 
Bado nipo nipo kwanza nilisha tumikia sana mapenzi ya kweli nikaishia kuumizwa tu.
Acha kwanza ninenepe kwa kuwa single! Free Soul & free lifestyle Madame B

Duh! Pole sana.
Ndio sikatai mkuu,ila umri nao unasogea mkuu!
Tafuta taratibu taratibu,
nina imani utafanikiwa Pax!
 
Last edited by a moderator:
Bado nipo nipo kwanza nilisha tumikia sana mapenzi ya kweli nikaishia kuumizwa tu.
Acha kwanza ninenepe kwa kuwa single! Free Soul & free lifestyle Madame B

Duh! Pole sana.
Ndio sikatai mkuu,ila umri nao unasogea mkuu!
Tafuta taratibu taratibu,
nina imani utafanikiwa Pax!
 
Last edited by a moderator:
Naomba uelewe wewe,
Ukijiona huna cha maana cha kuchangia ni heri mkapakatane na hawara yako.
Waache wanaojua maana ya mapenzi wachangie.
Kwani tukianikana huku wewe kinakuuma nini?
Au unanitaka?
Kama unanitaka kuwa muwazi ili usaidiwe.
Wapo wa kuwaomba ushauri lakini si kwa jitu kama wewe uliokosa ustaarabu wa Bara na Pwani.
Kwani akikuta Bwawa kinakuuma nini? Ataogelea mwisho wa siku atafika ng'ambo.
Au ulikuwa unamtaka?
Funguka wewe.
Ina maana asirudishe mrejesho?
Usiwe kama **** flani aliekuwa 'Mtumwa ugenini'.
ANGALIA UTAKUJA KUOLEWA MCHANA KWEUPEEE MBUZI ANAKULA MAJANI...!!
Na kama unasema tumekuja kujianika,wewe unaruhusiwa kuja kutuanua..!!!
Usivamie Pori kwa Wembe.


Hongera Madame B and ur husband to be. Unajua dawa ya mjinga ni kumpuuza, just concentrate on ur plans na huyo icecream wako.
If its not a joke then will be another evolution of jf.
 
Duh! Pole sana.
Ndio sikatai mkuu,ila umri nao unasogea mkuu!
Tafuta taratibu taratibu,
nina imani utafanikiwa Pax!
Ni kweli Madame B hilo lipo lakini sihitaji kutafuta tena nataka itokee automatically maybe this will be safest way to meet an indeed partner. seeking inapelekea kuangalia sura na umbile then tunaishia kwenye pressure.
Naamini hakuna mtihani mkubwa duniani kama kufaulu kumpata mwenza ambaye mtaishi bila mawaa!
I have a dream one day yes!
 
Hongera Madame B and ur husband to be. Unajua dawa ya mjinga ni kumpuuza, just concentrate on ur plans na huyo icecream wako.
If its not a joke then will be another evolution of jf.

Yaani MESTOD acha tu,
kuwa watu humu hawana ustaarabu hata kidogo.
Kama hajisikii kuchangia si apige kimya?
Au anataka kujioneshe kuwa yeye ni bingwa la kuchonga domo?
Thanks a lot MESTOD,
And we ar here to talk openly,
 
Ni kweli Madame B hilo lipo lakini sihitaji kutafuta tena nataka itokee automatically maybe this will be safest way to meet an indeed partner. seeking inapelekea kuangalia sura na umbile then tunaishia kwenye pressure.
Naamini hakuna mtihani mkubwa duniani kama kufaulu kumpata mwenza ambaye mtaishi bila mawaa!
I have a dream one day yes!

Maneno yako yana ujumbe flani nimeupenda.
Ni kweli,utakuta mkishakutana tu,
kinachoangaliwa ni Sura na Shape.
Bora itokee ya 'Kushtukiza coz mtakuwa mmeonana live na kupendana vile mlivyo.
Ila ndo hvo tena,
Kumpata wa Ukweli!
Pana kazi sana Paxman.
Piga moyo konde.
 
Hongera Madame B and ur husband to be. Unajua dawa ya mjinga ni kumpuuza, just concentrate on ur plans na huyo icecream wako.
If its not a joke then will be another evolution of jf.

Yaani MESTOD acha tu,
kuwa watu humu hawana ustaarabu hata kidogo.
Kama hajisikii kuchangia si apige kimya?
Au anataka kujioneshe kuwa yeye ni bingwa la kuchonga domo?
Thanks a lot MESTOD,
And we ar here to talk openly,
 
Yaani MESTOD acha tu,
kuwa watu humu hawana ustaarabu hata kidogo.
Kama hajisikii kuchangia si apige kimya?
Au anataka kujioneshe kuwa yeye ni bingwa la kuchonga domo?
Thanks a lot MESTOD,
And we ar here to talk openly,

Hopefully one day nitafunguka hapa. Ndo naandaa job descritpion ya huyo mtarajiwa, na mimi ku update my CV
 
Kwi kwi kwi kwi kwi,

hicho ni kicheko cha furaha, kijana hongera zako ila usisahau...........

napenda kutoa taarifa kwamba nimefanikiwa kupata mke mtarajiwa hapa jf kupitia bango ambalo niliweka,nilipokea pm nyingi na kupitia hizo malkia mmoja amepatikana.aidha napenda kuwatia moyo wote ambao walini pm kwamba wasikate tamaa ktk kutafuta wenza.niwaombe radhi pia wale ambao walikosa majibu kutokana na mimi kutowepo wakaishia kulaumu.
Nawapongeza na kuwashukuru mods pia kwa ukumbi huu.wana jamii wote kwa ujumla mutarajie kupata kadi za harusi muda wowote mambo yakishaiva.
Asanteni sana.
 
wana jf waige mfano wako! wengine wakipata wanakaa kimya. Asante mkuu kwa kutoa feedback na hongera kwa kupata mwenza
 
Back
Top Bottom