We ukiolewa kwa kulazimisha ndoa haidumu jamaa inabidi apitie list ya wanawake wengine
Bado nipo nipo kwanza nilisha tumikia sana mapenzi ya kweli nikaishia kuumizwa tu.Unajua Paxman U-serious unakujaje,
1. Endapo utaandika ombi lako pasi na utani NA
2. Utakuwa na kauli nzuri ktk majibu yako.
Naamini ukifanikisha hayo,
Utafanikiwa Believe or Not.
Mbona Nas ameweza?
Try Paxman.
that was fast!napenda kutoa taarifa kwamba nimefanikiwa kupata mke mtarajiwa hapa jf kupitia bango ambalo niliweka,nilipokea pm nyingi na kupitia hizo malkia mmoja amepatikana.aidha napenda kuwatia moyo wote ambao walini pm kwamba wasikate tamaa ktk kutafuta wenza.niwaombe radhi pia wale ambao walikosa majibu kutokana na mimi kutowepo wakaishia kulaumu.
Nawapongeza na kuwashukuru mods pia kwa ukumbi huu.wana jamii wote kwa ujumla mutarajie kupata kadi za harusi muda wowote mambo yakishaiva.
Asanteni sana.
Bado nipo nipo kwanza nilisha tumikia sana mapenzi ya kweli nikaishia kuumizwa tu.
Acha kwanza ninenepe kwa kuwa single! Free Soul & free lifestyle Madame B
that was fast!
ngoja summer isogee kidogo na miye nfunguke..
Bado nipo nipo kwanza nilisha tumikia sana mapenzi ya kweli nikaishia kuumizwa tu.
Acha kwanza ninenepe kwa kuwa single! Free Soul & free lifestyle Madame B
Naomba uelewe wewe,
Ukijiona huna cha maana cha kuchangia ni heri mkapakatane na hawara yako.
Waache wanaojua maana ya mapenzi wachangie.
Kwani tukianikana huku wewe kinakuuma nini?
Au unanitaka?
Kama unanitaka kuwa muwazi ili usaidiwe.
Wapo wa kuwaomba ushauri lakini si kwa jitu kama wewe uliokosa ustaarabu wa Bara na Pwani.
Kwani akikuta Bwawa kinakuuma nini? Ataogelea mwisho wa siku atafika ng'ambo.
Au ulikuwa unamtaka?
Funguka wewe.
Ina maana asirudishe mrejesho?
Usiwe kama **** flani aliekuwa 'Mtumwa ugenini'.
ANGALIA UTAKUJA KUOLEWA MCHANA KWEUPEEE MBUZI ANAKULA MAJANI...!!
Na kama unasema tumekuja kujianika,wewe unaruhusiwa kuja kutuanua..!!!
Usivamie Pori kwa Wembe.
Ni kweli Madame B hilo lipo lakini sihitaji kutafuta tena nataka itokee automatically maybe this will be safest way to meet an indeed partner. seeking inapelekea kuangalia sura na umbile then tunaishia kwenye pressure.Duh! Pole sana.
Ndio sikatai mkuu,ila umri nao unasogea mkuu!
Tafuta taratibu taratibu,
nina imani utafanikiwa Pax!
Hongera Madame B and ur husband to be. Unajua dawa ya mjinga ni kumpuuza, just concentrate on ur plans na huyo icecream wako.
If its not a joke then will be another evolution of jf.
Ni kweli Madame B hilo lipo lakini sihitaji kutafuta tena nataka itokee automatically maybe this will be safest way to meet an indeed partner. seeking inapelekea kuangalia sura na umbile then tunaishia kwenye pressure.
Naamini hakuna mtihani mkubwa duniani kama kufaulu kumpata mwenza ambaye mtaishi bila mawaa!
I have a dream one day yes!
Hongera Madame B and ur husband to be. Unajua dawa ya mjinga ni kumpuuza, just concentrate on ur plans na huyo icecream wako.
If its not a joke then will be another evolution of jf.
Yaani MESTOD acha tu,
kuwa watu humu hawana ustaarabu hata kidogo.
Kama hajisikii kuchangia si apige kimya?
Au anataka kujioneshe kuwa yeye ni bingwa la kuchonga domo?
Thanks a lot MESTOD,
And we ar here to talk openly,
napenda kutoa taarifa kwamba nimefanikiwa kupata mke mtarajiwa hapa jf kupitia bango ambalo niliweka,nilipokea pm nyingi na kupitia hizo malkia mmoja amepatikana.aidha napenda kuwatia moyo wote ambao walini pm kwamba wasikate tamaa ktk kutafuta wenza.niwaombe radhi pia wale ambao walikosa majibu kutokana na mimi kutowepo wakaishia kulaumu.
Nawapongeza na kuwashukuru mods pia kwa ukumbi huu.wana jamii wote kwa ujumla mutarajie kupata kadi za harusi muda wowote mambo yakishaiva.
Asanteni sana.
wana jf waige mfano wako! wengine wakipata wanakaa kimya. Asante mkuu kwa kutoa feedback na hongera kwa kupata mwenza
hongera fanya chap chap maana mjini chelewa chelewa ...............
Nashukuru,
Nashukuru,