Kuna miamala mingine lazima ufike bank, fikiria unataka kuweka fedha bank, huwezi kuweka online, utakwenda tu bank halafu ukitaka kuzitumia ndipo online banking inapofanya kazi.
Lakini pia bado zipo taasisi ambazo ili kujiridhisha kuwa umelipia huduma fulani, lazima uwapelekee pay slip, huna namna, lazima utakwenda bank.
Ni kweli teknolojia imeturahisishia sana katika ishu nzima ya utumiaji wa fedha zetu mara tuziwekapo bank
Kukosekana kwa watu bank, ni ishara kuwa watu hawana pesa za kupeleka huko, kinachopatikana kinaliwa, senti ya kuweka akiba haipo.