Nimeshangaa kukuta Benki ni kweupe

Nimeshangaa kukuta Benki ni kweupe

Ilikua muda gani huo. Maana mchana siku za ijumaa hua watu wanaenda kuswali.
Saa nne asubuhi, maana saa 8 nilikuwa nina kikao hivyo nilitarajia kutumia na muda wa mapunziko pale bank, lakini bosi alishangaa kuona punde nimesharudi akaniuliza we vipi nikamwambia tayari, nikamweleza kisa hiki naye akasema mengi yanayofanana na niliyomwambia.
 
Kutokana na automation wateja wengi hufanya transactions online
Hata Wewe mleta mada hukutakiwa kwenda bank
Ni hali Ya kawaida sana
Hivyooo!! nipe darasa, inakuweje hivyo, shule imeagiza ada zote zilipiwe bank fulani na ikatoa Account na jina la bank halafu wanasema mtoto aje na Original Pay in Slip shuleni kudhibitisha malipo. Nambie hiyo automation yako unayosema ningefanyaje ili nipate hiyo Pay in Slip inayotakiwa na mwalimu Mkuu?
 
WATANZANIA TUMEZOA SHIDA NDIO MAANA ANALALAMIKA,ANGEKUTA FOLEN NDIO LAWAMA INGEZID,AMA HAKIKA MTZ HABEBEK!!..
 
Hivyooo!! nipe darasa, inakuweje hivyo, shule imeagiza ada zote zilipiwe bank fulani na ikatoa Account na jina la bank halafu wanasema mtoto aje na Original Pay in Slip shuleni kudhibitisha malipo. Nambie hiyo automation yako unayosema ningefanyaje ili nipate hiyo Pay in Slip inayotakiwa na mwalimu Mkuu?

Online banking mkuu
Sikumbuki last time nilienda branch sababu kila kitu nafanya online
Jitahidi kubadilika uende na teknolojia Ya kisasa
 
Ndugu yangu hebu fikiria siku moja umekwenda nyumbani kwenu kijijini halafu unakuta nyumba nzima hawapo kinyume na ulivyotarajia ukute, siutashangaa na kuanza kuulizia majirani wakwambie kumetokea nini na wamekwenda wapi, na watarudi muda gani, n.k. au unakaa chini na kulegeza kamba zako za viatu? lazima utakuwa na kasoro kichwani kama hutashangaa!!!
kama mimi nilivyo shangaa bei za nyumba including kodi kushuka hasa kwa jiji la Dar es salaam.
 
Wewe huendagi benki sijui nini kinakushangaza!!
Benki hadi ukalipie ada watoto??
 
Online banking mkuu
Sikumbuki last time nilienda branch sababu kila kitu nafanya online
Jitahidi kubadilika uende na teknolojia Ya kisasa
hujanijibu hoja yangu, niambie namna ya kuipata hiyo Pay in Slip kwa kutumia online ili nami nisiende huko. Nimeambiwa makato ni makubwa sana ukitumia online banking, kweli si kweli?
 
Mie sijui hao wengine watafanyaje,ila mie nimeazimia kuanza kilimo cha bustani:vitunguu na mbogamboga!
Hali ni mbayaaa!
Hatutofautiani na Mimi,nipo mjini nimeomba uhamisho niende kijijini nikalime na kufuga,uhamisho nao kimya mpaka sahvi,yaan Mungu atuone tu kwa kwakweli
 
Back
Top Bottom