Nimeshangaa kukuta Benki ni kweupe

Nimeshangaa kukuta Benki ni kweupe

Ukiambiwa useme uchumi umekua nawew unasema uchumi umedorora utapigwa tu
 
Ni kweli. Mimi nimeenda Mara kadhaa katikati ya mji. Same situation.
 
Stori yako haina mashiko ya uthibitisho wa hicho unachotaka tukiamini.
Ungeweza hata kuzitaja direct hizo benki,pamoja na hayo benki nyingi sasa zinafanya njia mbadala ya kuweka fedha,sio lazima ukakute misululu mirefu. Rudia kufanya utafiti.
 
Stori yako haina mashiko ya uthibitisho wa hicho unachotaka tukiamini.
Ungeweza hata kuzitaja direct hizo benki,pamoja na hayo benki nyingi sasa zinafanya njia mbadala ya kuweka fedha,sio lazima ukakute misululu mirefu. Rudia kufanya utafiti.
Unasemaje wewe? nitaje hizo benk kwa majina ili iweje, shida haiko kwenye benk shida iko kwa watumiaji wa huduma za benk hizo. Nilitaka kuomba mkopo kwenye benki ambayo mimi ni mteja wao kwa zaidi ya miaka 12 na nimekopa hapo mara 4 na kulipa deni langu bila shida, lakini safari hii nilipotaka kukopa tena wakanambia subiri kwanza sasa hivi tumesimamisha huduma ya mikopo kidogo mpaka hali itakapotengemaa. Nikashika mdomo na kutikisa kichwa changu kisha nikaondoka bila kuwauliza ni hali gani hiyo wanayosubiri itengemae. Actually niliwaona kama majipu tu wanaostahili kutumbuliwa.
 
Kuna cash vans...unawaita wanakuja chukuwa oesa wanapeleka wao Bank...tumechoka kuibiwa na majambazi.
 
Unasemaje wewe? nitaje hizo benk kwa majina ili iweje, shida haiko kwenye benk shida iko kwa watumiaji wa huduma za benk hizo. Nilitaka kuomba mkopo kwenye benki ambayo mimi ni mteja wao kwa zaidi ya miaka 12 na nimekopa hapo mara 4 na kulipa deni langu bila shida, lakini safari hii nilipotaka kukopa tena wakanambia subiri kwanza sasa hivi tumesimamisha huduma ya mikopo kidogo mpaka hali itakapotengemaa. Nikashika mdomo na kutikisa kichwa changu kisha nikaondoka bila kuwauliza ni hali gani hiyo wanayosubiri itengemae. Actually niliwaona kama majipu tu wanaostahili kutumbuliwa.
sasa hapo huoni tatizo ni benk yenyewe. Mara foleni hakuna,mara mikopo hakuna. Kama mteja wao ilibidi uwahoji na upate majibu kamili ya kukupa amani. Kumbuka una amana zako hapo,tena mteja mkongwe. Tembelea na kwingine uone hali ipo vp. Pole lakini kwa kukosa mkopo. watakuwa wamekumbwa na credit crunch.
 
sasa hapo huoni tatizo ni benk yenyewe. Mara foleni hakuna,mara mikopo hakuna. Kama mteja wao ilibidi uwahoji na upate majibu kamili ya kukupa amani. Kumbuka una amana zako hapo,tena mteja mkongwe. Tembelea na kwingine uone hali ipo vp. Pole lakini kwa kukosa mkopo. watakuwa wamekumbwa na credit crunch.
mwenye macho haambiwi tazama
 
Back
Top Bottom