mkulukunde
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 313
- 199
Mkuu haupo mdogo wake mwingine unikabidhishe?Leo nlimtuma mshenga na ancle wangu kuchukua majibu ya posa na thamani ya Mahali cha ajabu wamepewa karatasi yenye mchanganuo wa vitu na thamani yake jumla wamepata laki 658000 hata siamini hapo hapo wakatoa laki 2 nadaiwa laki 458000 (walienda na millioni 1 ila waliona ni dharau kulipa yote)
Watatumia hata mashine ya Max Malipo ila risiti ni muhimu!Sasa hiyo EFD wakwe wataimiliki kwa biashara gani yaani thamani ya mtaji silazima iwe kiwango Fulani?
Hapo sina neno basi hayo mambo yaanzie kanda ya ziwa maana ng'ombe kadhaaaWatatumia hata mashine ya Max Malipo ila risiti ni muhimu!
Kwa kuwa mabinti wa kileo wanaoolewa ni decent na kwamba kutokana na changamoto za maisha wanajikuta ndoa zinafungiwa mjini na kwa kuwa kupeleka ng'ombe mjini ni kuchochea si tu mgogoro wa wakulima na wafugaji bali hata na wafanya biashara na watumiaji wengine wa mji basi kwa kauli moja tukokotoe tu gharama za ng'ombe tajwa hela itolewe ili zoezi la risiti liende kama ilivyopangwa!Hapo sina neno basi hayo mambo yaanzie kanda ya ziwa maana ng'ombe kadhaaa
Good pointKwa kuwa mabinti wa kileo wanaoolewa ni decent na kwamba kutokana na changamoto za maisha wanajikuta ndoa zinafungiwa mjini na kwa kuwa kupeleka ng'ombe mjini ni kuchochea si tu mgogoro wa wakulima na wafugaji bali hata na wafanya biashara na watumiaji wengine wa mji basi kwa kauli moja tukokotoe tu gharama za ng'ombe tajwa hela itolewe ili zoezi la risiti liende kama ilivyopangwa!
Yah kwa mujibu wa imani ya Kiislamu, mahari ni zawadi inayotolewa na muowaji, kumpa anaeolewa. Kwahiyo anaepaswa kutamka zawadi hiyo ni mwanamke, ila kwa sasa wazizi wangine huu ni mradi wa kuboresha uchumi.Mkoa wa tanga ukienda kupeleka barua tu au kujitambulisha unahitaj kuoa binti yao wanakupa ukae nae kabisa maswala ya mahari na harusi mtapanga wenyewe mtawafahamisha kua mnataka harusi iwe tar ngapi na utaenda hata kitembea kwao daily na msosi unapewa bila was
Mara ya mwisho mahali kupolewa kwetu ilikuwa 5.8M sijui kwasasa itakuwaje ,nawaza tu.
inabidi tuwaletee EFDMara ya mwisho mahali kupolewa kwetu ilikuwa 5.8M sijui kwasasa itakuwaje ,nawaza tu.
Teh teh... huyo dada yenu alikuwa na papuchi ya dhahabu au wazee walikuwa wanatafuta mtaji wa biashara? 5.8m is unrealistic.Mara ya mwisho mahali kupolewa kwetu ilikuwa 5.8M sijui kwasasa itakuwaje ,nawaza tu.
Haaaa.. mkuu umetumia mchanganuo gani hadi ukapata 350? teh...Hapo wamekupiga..ilitakiwa isizidi 32,350/= Tsh [emoji15] [emoji15] [emoji23]
Mkoa wa tanga ukienda kupeleka barua tu au kujitambulisha unahitaj kuoa binti yao wanakupa ukae nae kabisa maswala ya mahari na harusi mtapanga wenyewe mtawafahamisha kua mnataka harusi iwe tar ngapi na utaenda hata kitembea kwao daily na msosi unapewa bila was