OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Wakuu salama
Kiukweli sijalala usiku nilikuwa nafikiria patakucha muda gani ili nianze kujisogeza ofisi za chama cha cuf pale buguruni mahali ambapo mgombea wa ukawa leo atakuwa pale
Nashukuru Mungu hatimaye kaniamsha salama sasa ni dk kumi kufika ofisi za cuf kwahiyo moja kwa moja nitawapa updates............
Tumejipnga kwa namna yoyote ile kwa wale wote walio tengenezwa na ccm kuleta vurugu kwani kuna tetesi jana kuwa wamepanga kuhujumu kikao cha leo,Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki UKAWA
Updates....
Tayari niko ofisi za cuf geti limefungwa wakuu tunasubir mlinzi muda muafaka ukifika alegeze geti kwani tayari naona kuna baadhi ya masela hapa nao nimekuwakuta hapa nao wameamka kombora kuja kuona mtananange hakika nimeamini Ukawa tunakwenda kubeba nchi asubuhi na mapema kama lowass alivyotuambia tunabeba nchi asubuhi na mapema kabla ibada ya kwanza haijaingia
Kiukweli sijalala usiku nilikuwa nafikiria patakucha muda gani ili nianze kujisogeza ofisi za chama cha cuf pale buguruni mahali ambapo mgombea wa ukawa leo atakuwa pale
Nashukuru Mungu hatimaye kaniamsha salama sasa ni dk kumi kufika ofisi za cuf kwahiyo moja kwa moja nitawapa updates............
Tumejipnga kwa namna yoyote ile kwa wale wote walio tengenezwa na ccm kuleta vurugu kwani kuna tetesi jana kuwa wamepanga kuhujumu kikao cha leo,Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki UKAWA
Updates....
Tayari niko ofisi za cuf geti limefungwa wakuu tunasubir mlinzi muda muafaka ukifika alegeze geti kwani tayari naona kuna baadhi ya masela hapa nao nimekuwakuta hapa nao wameamka kombora kuja kuona mtananange hakika nimeamini Ukawa tunakwenda kubeba nchi asubuhi na mapema kama lowass alivyotuambia tunabeba nchi asubuhi na mapema kabla ibada ya kwanza haijaingia