Wavizangila
Member
- Jun 3, 2011
- 33
- 2
Watanzania wote na nchi zote nawasalimia naomba mnishauri / mnipatie dawamimi nina umri wa miaka 40 sieleweki na tatizo langu lina kama mwaka sasa nilikuwa natumia dawa za uzazi wa mpango toka nimeacha ndo yananitokea haya na maziwa yangu huwa kama mtu mjamzito nikikaribia siku zangu nimeenda hospitali wakahisi labda nina vivimbe lakini hawakuviona naomba msaada ndugu zangu