Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,575
- 18,600
Je unaufahamu ule wimbo wenye hii mistariWewe ulikosea. Ungemwambia akutumie kitambulisho chake ili umtumie pesa. Akituma hapo ndo ungejua kumbe wala si mzungu. Anakutumia kitambulisho chake na pesa haumtumii. Halafu unamwambia unakwenda kumshitaki.
Aliyeuziwa cheni katoa hela bandia
Aliyepokea hela nae kauza cheni ya bandia
Tuliozoea jiji tunasema ngoma droo
Na una-set mambo mengine yaende kwenye mtandao
---
Back to Topic
Kitambuslisho sio kikwazo kwao, hawa jamaa, hata passport anaweza kutumiwa, ila vyote vinakuwa Fake,
Hata ukihitaji wakupigie kwa video Call, wanafanya hivyo kwa apps akiwa na mwonekano ule aliokueleza nawe utaamini, Ila kiualisia yule unayemwona kwenye video call anakuwa sio yeye halisi.
---
Angalia hii