Kikundi ganiHichi kikundi ni cha wachamba umbea,
Acha basi mzee!Uliposema ngosha ulimaanisha nini?
Hata huko redioni hataisikia, ataishia kusoma tu kwenye "kuzogoa" namna mwanaume mwenzake anavyoichakataAiseee noma sana so Dogo Pusi ataisikia redioni tu??
Hapo ni crush tu, siku akiolewa si utatolewa bandamaUnaamka asubuhi una maadui wapya usiowajua๐ kisa ulilike post ya crush wake utajutraa
Halafu wanajazana ujingaa mpaka unajiuliza hivi humu watu wanajitambua kweli au ndio watoto wengi๐คญ
๐น๐น๐น๐นDJ weka ngoma ya Z Antony... Inaitwa binti kiziwi nitakuja baada ya watu kulewa...๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Tulikumiss aseeh na mizagamuano yako ilivyo heavyNa nani, na nini? daktari, jazilizia nyama kidogo!
Hakuna kitu walaHuu uzi una kitu! Acha nikeshe naogopa nikilala nitapitwa
Eti ulikasirika kisa kalike comment ya crush wako ๐น๐น๐นKipenzi si unanijua nilivyo mdogo wako ๐ hapo nishamaliza sitii neno tena nitaharibu
Wadau wanasema JF sio ya kuchukuliq serious sana ila kuna watu wapo serious kupita serious yenyewe
Sasa mtu kama mimi mwenye mbawa fupi nakaa mbali na hao marafiki zako wakali kama petrol wasinilipue ๐๐
Bye love u ๐
Mimi natania.Hakuna kitu wala
Ningetaka kiwepo ingekuwa wayback huko ila now no ๐
Ndio maisha ya humu ndani ๐๐ unaweza kudhani watu wanarushiana maneno ukadhani mada iliyoko mezani imechanganya kumbe wenzio wanagombea bwana ๐๐Duuuh
Ntangโolewa kidudu๐Hapo ni crush tu, siku akiolewa si utatolewa bandama
Dada niache siwezi heka heka uwiiiiiEti ulikasirika kisa kalike comment ya crush wako ๐น๐น๐น
Kumbe mna macrush na hamsemi? ๐คฃ
Sawa maa๐Mimi natania.
Bwana ambae wote hamumjui na yeye hana hizo taarifa zenu, kama matahira๐คฃNdio maisha ya humu ndani ๐๐ unaweza kudhani watu wanarushiana maneno ukadhani mada iliyoko mezani imechanganya kumbe wenzio wanagombea bwana ๐๐
Hii ni ya lini tena... ๐Eti ulikasirika kisa kalike comment ya crush wako ๐น๐น๐น
Kumbe mna macrush na hamsemi? ๐คฃ
Hicho hichoKikundi gani
Hivi JF na hizi Id zetu fake. Mtu anapata wapi ujasiri wa kugombea mwenza?Ndio maisha ya humu ndani ๐๐ unaweza kudhani watu wanarushiana maneno ukadhani mada iliyoko mezani imechanganya kumbe wenzio wanagombea bwana ๐๐
Ni huzuni ๐คฃ๐คฃ๐คฃBwana ambae wote hamumjui na yeye hana hizo taarifa zenu, kama matahira๐คฃ