G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,881
Hii ni hatua nzuri ya kufanywa na serikali maana sisi ni wadau wa kupaaza sauti juu ya mwenendo wa kusuasua wa mapambano dhidi ya ugonjwa huu wa COVID 19. Kuna sehemu nimepita kama nilivyoeleza kwenye heading na kushuhudia mashine hiyo ikifungwa tayari kwa kuanza uzalishaji wa barakoa.
Lakini mimi nina swali moja kwa serikali.
Ikiwa Rais mwenyewe anapinga matumizi ya barakoa inakuwaje analeta mashine hiyo?
Jibu:
Watanzania tujiandae kuletewa sheria kali ya kuvaa hizi barakoa zitakazozalishwa na serikali. Serikali inachotafuta ni mapato na siyo nia ya dhati ya kuwakinga wananchi. Ingekuwa ni hivyo Rais angekuwa mstari wa mbele kuhimiza matumizi ya barakoa hapo kabla.
Hatimaye tunaenda kupata chanzo kingine cha mapato. Jamani acheni nipambane kugawa hivi vitambulisho vya machinga nisije kutumbuliwa buree..Ugali ni mtamu bandugu!
Lakini mimi nina swali moja kwa serikali.
Ikiwa Rais mwenyewe anapinga matumizi ya barakoa inakuwaje analeta mashine hiyo?
Jibu:
Watanzania tujiandae kuletewa sheria kali ya kuvaa hizi barakoa zitakazozalishwa na serikali. Serikali inachotafuta ni mapato na siyo nia ya dhati ya kuwakinga wananchi. Ingekuwa ni hivyo Rais angekuwa mstari wa mbele kuhimiza matumizi ya barakoa hapo kabla.
Hatimaye tunaenda kupata chanzo kingine cha mapato. Jamani acheni nipambane kugawa hivi vitambulisho vya machinga nisije kutumbuliwa buree..Ugali ni mtamu bandugu!