Huwezi kusahau laki saba kwenye mfuko wa suruali kama maisha yako njaa njaa kama wewe? Hapo utakuwa umeongeza sifuri sifuri mbele itakuwa elfu 7 ya supu baada ya kubanwa na mama ntilie ukaona ukimbilie nyumbani kusave nayo ukaona hola ndio unamsingizia dada wa watu kusave soo au kuja kuchangamsha genge humu.
Laki saba tena ya ujenzi usahau kwenye mfuko wa suruali kwa usawa huu wa magu njoo na bandiko jingine mkuu.
Kama uliweza kusahau pesa kwenye mfuko basi inawekana pia umesahau kuwa hukuingia na hiyo pesa nyumbani, kiufupi kusahau kwako kunafanya HG asiwe na hatia, afu kwa kuongezea hapo kwa sisi wakongwe tukiangalia kwa jicho la tatu, huyo HG unamtafuna, mana usingekuja kulalamika humu wakati umemwacha home.Nipo kwenye machungu yasiyo na kifani baada ya kupigwa tsh 700,000 na house girl. Ilikuwa hivi jana nimechukua iyo fedha toka ATM ili nikalipe mafundi wanaonifanyia kazi moja ya ujenzi. Fedha zote zote hizo nikaziweka kwa mfuko wa nyuma ,basi jana jioni kufika nyumbani nikavua hiyo suruali nikaitundika kwenye suruali nakaingia kulala. Kuamka asubuhi kwa bwebwe zote nikakusanya nguo zote pamoja na ile suruali iliyokuwa na laki saba kwenye mfuko wa nyuma nikamkabidhi house girl kwa ajili ya kufua. Basi nikaseme ngoja nipate supu apa mtaani alafu nielekee site kukutana na mafundi,ile namaliza kupata supu ndipo nakumbuka fedha za kwenda kuwalipa mafundi nimezisahau kwenye suruali niliyovaa jana.
yaani nilirudi nyumbani kwa kasi ya duma, nafika nakuta baadhi ya nguo zipo apo chini na zingine bado azijafanyiwa ufuaji,alafu mhusika(house girl) haonekani. Duh nikajua tayari nimeshapigwa alafu kazima na simu,kumbe kabeba laki saba katokomea zake. Yaani nimechoka kwa kweli ,housegirl kanifanya mtaji, ila kitaelweka tu nitamtafuta kila kona kuanzia nchi kavu,angani adi majini , kwa sababu maumivu aliyoniachia ni zaidi ya mwanaume kupigwa kwenye testicle.Uzuri baadhi ya ndugu zaka nawafahamu, usiombe upigwe laki saba kipindi hiki.
Aahahah mkuu mi kidume tena cha haja siwezi kuwa house girl .pale maskini anapombahatisha maskini mwenzio atapigwa kipigo cha mbwa koko...umempiga mwenzio ewe Zero IQ
Kumgonga kwa namna gani mkuuPole sana. Ukimkamata mgonge kwanza. Hakuna kingine utakachofanya kitakachokupunguzia machungu zaidi ya kumgonga!
Mkuu hii ni chai tuSiku nikipata laki 8 huwa nakuwa kama nimebeba magendo.
Sasa nashangaa ubebe 700k bado uziweke mfuko wa nyuma na bado uzisahau!!???
Njoo nikupe...Pole sana Mkuu.
Hadi nimetamani ningekuwa huyo beki3 mwenzangu.
Pole sana Mkuu, lakini wewe inakuwaje unafuliwa nguo na house girl, kwa nini wife asifanye kazi hiyo ?Nipo kwenye machungu yasiyo na kifani baada ya kupigwa tsh 700,000 na house girl. Ilikuwa hivi jana nimechukua iyo fedha toka ATM ili nikalipe mafundi wanaonifanyia kazi moja ya ujenzi. Fedha zote zote hizo nikaziweka kwa mfuko wa nyuma ,basi jana jioni kufika nyumbani nikavua hiyo suruali nikaitundika kwenye suruali nakaingia kulala. Kuamka asubuhi kwa bwebwe zote nikakusanya nguo zote pamoja na ile suruali iliyokuwa na laki saba kwenye mfuko wa nyuma nikamkabidhi house girl kwa ajili ya kufua. Basi nikaseme ngoja nipate supu apa mtaani alafu nielekee site kukutana na mafundi,ile namaliza kupata supu ndipo nakumbuka fedha za kwenda kuwalipa mafundi nimezisahau kwenye suruali niliyovaa jana.
yaani nilirudi nyumbani kwa kasi ya duma, nafika nakuta baadhi ya nguo zipo apo chini na zingine bado azijafanyiwa ufuaji,alafu mhusika(house girl) haonekani. Duh nikajua tayari nimeshapigwa alafu kazima na simu,kumbe kabeba laki saba katokomea zake. Yaani nimechoka kwa kweli ,housegirl kanifanya mtaji, ila kitaelweka tu nitamtafuta kila kona kuanzia nchi kavu,angani adi majini , kwa sababu maumivu aliyoniachia ni zaidi ya mwanaume kupigwa kwenye testicle.Uzuri baadhi ya ndugu zaka nawafahamu, usiombe upigwe laki saba kipindi hiki.
Unipe nini mkuu?Njoo nikupe...
Nikupe hiyo laki sabaUnipe nini mkuu?
ahsante,siku ya leo imekuwa ngumu sana
Sio kama faru John au ?yani nina hasira kamu faru dume
Asante sana mkuu, haina malipo?Nikupe hiyo laki saba
Haina malipo ya kumuumiza mtu kiviileee...Asante sana mkuu, haina malipo?
Mmmnh! Ndo yapi hayo?Haina malipo ya kumuumiza mtu kiviileee...