Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Elfu 5 zinakuwa kiasi gani ?Elfu 5. Unazo?
Elfu 5 zinakuwa kiasi gani ?Elfu 5. Unazo?
Hao lazima ni member wa bawachaHello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Pole Kiongozi, mbona hao kitambo tu wapo na hari hii ya sasa ndio wamezidiHello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Hata elfu 5.Sasa mkuu ningetoa ngapi?
Hello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwakweli nimecheka sana good morning mkuu
sijui ka kwama wapi kuchukua hata mawasiliano. kashindwa kutumia fursaMwandishi ni DOMO ZEGE hata namba hujaomba mxuuuu
Ungewapiga cha ten na kubeba namba mda huu badala ya kukesha JF ungekua unajigongea
DOOOOOOOOOOOO Wewe Kaka elfu 2 tu,unakuja kulia huku jamiiForum.hao wadada wamebuni jinsi ya kuweka oil vyumaHello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Yaweza kuwa yale mainvissible toka baharini ghafla umelala juu ya likaburi,chezea mauza uza hatari.
Hello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha