Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Muda mwingine ni bora uendelee na mambo yako tamaa uweke pembeni
Siyo kila mwanamke unaweza kulala naye na unapomsaidia kijana wa kike haimanishi unamtaka kimapenzi.Mwandishi ni DOMO ZEGE hata namba hujaomba mxuuuu
Ni kweli jozeeMuda mwingine ni bora uendelee na mambo yako tamaa uweke pembeni
akitoa nambie nikuongezee elf 5 nyingine ya vocha!!!Mleta uzi una roho nzur sana, hebu naomba unisaidie elfu1 ya vocha
hata namba hakuchukua huyu jamaa sijui yukojeMuda mwingine ni bora uendelee na mambo yako tamaa uweke pembeni
Wew nae limbukeni wa mapnz!!!!yaan wadada wanakuomba unawapa!je angekuomba men mwnzko ungetoa?acha ushamba wa mapnz huenda kkwanz unakibamiaHello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Buku mbili inakuuma kiasi hicho mkuu,dah,haya bana.Hello wana wanabody habari za jioni
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.
Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!
Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.
Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Utakuwa wa kutoka kisaraweEwe mwali kamlongele mwali mwanamwali mwali