Nimepigwa mzinga wa maana leo

Nimepigwa mzinga wa maana leo

Nilivyosoma heading MZINGA, nikajua Binge la ajari ...kumbe kihere chako!! Hujui kusifia kunalipiwa siku hz? Nguo hizo wamekodi wapo kazini harafu wewe unaleta shobo!
Ndiyo maana Mnatekwa!...kizembe mfyuuuuuuuu
 
Sasa buku mbili tuuu....khaaa ndo maana wanasema sisi wabongo hatujui kuhonga
 
Ningeona ohhh dada vp kwa mawasiliano kdg nn polojo mbili tatu ungepata na namba

Shwain ww
 
Sasa hapo kizinga kiko wapi?

Si umemsaidia nauli au?
 
Ovyooo. Unamuacha mkeo home unakwenda kugawa pesa kwa malaya ? Shemeji acha ujinga. Wewe mkubwa sasa
 
Wanajidharaulisha na wanajishusha hadhi sana, mbona wengi tu wanaofanya hivyo, ukiona wanakichangamkia ujue ni mzinga unafata
 
Hello wana wanabody habari za jioni

Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.

Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!

Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.

Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Wew nae limbukeni wa mapnz!!!!yaan wadada wanakuomba unawapa!je angekuomba men mwnzko ungetoa?acha ushamba wa mapnz huenda kkwanz unakibamia
 
Hello wana wanabody habari za jioni

Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Leo nilikuwa n.a. safari kwenda shule fulani maeneo ya mtoni mtongani (kwaazizially) kwa lengo la kuchukua order ya vifaa vya stationeries....!! Mimi ni supplier wa vifaa ivyo.
Wakati natoka hapo shuleni nikasema let me go to posta now. Nilipotaka kuvuka upande wa pili, ili nikapate usafiri kuelekea posta nikawaona wadada 2 warembo kweli kweli...nisiwe mnafiki hapa kwa kweli walikuwa wazuri siyo reception wala Tigo. Hakika waliumbwa wakaumbika.

Nikasema ngoja nivute faster niwasalimu kidogo. Nilipo wakaribia kumbe na wao walikuwa wananifanyia tyming. Na maongezi yetu yakawa ivi....!!!

Mimi: Mambo zenu watoto wazuri.....?
Wao: Nzuri
Moja kati yao akaniambia.....!!
Yeye: Kaka samahani. Naomba utusaidie elfu mbili ya nauli.
mimi: Nikamuuliza, mnaenda wapi?
Yeye: Tunaenda Kigamboni.
Mimi: mnatoka wapi....?
Yeye: Kwa Dada, anaishi Mtoni mtongani.
Mimi: Sawa. Though nikawa nawaza n.a. kutafakari iweje hawa wadada wazuri ivi wakose nauli tena elfu 1 na si elfu 2. Au ndiyo januari imekaza na kuvaa bukta nyeusi nini...? Manake from mtoni adi kigamboni ni elfu 1 kwa wawili. Baada ya kutafakari kwa kina nikatoa elfu 2. Nikawapatia kiroho safi tena bila kinyongo. Tukaagana n.a. kila mmoja akawa busy kusubiri usafiri wake.

Muda mfupi nikawaona wanashuka kituo kinachofata pembeni nikamuona yule Dada mwingine aliyekuwa nyuma pindi namwoji mwenzake...amemfesi kaka mmoja anamuomba nauli kwenda posta.
Nikashangaa n.a. kupigwa n.a. butwaa nikajisemea kimoyo moyo tayari nimeisha pigwa MZINGA tena asubuhi asubuhi...!!!.kwa kweli nilitamani kuwakimbiza wale wadada lakini nikasita na kujishauri wasije wakanigeukia hapa nikapata aibu ya mwaka. Kwani mjini mpango. Ingawa roho inaniuma.
Hivyo ndivyo nilivyopigwa mzinga siku ya Leo.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Buku mbili inakuuma kiasi hicho mkuu,dah,haya bana.
 
Hao madada wajanjaaaa fikiria wakipiga mizinga watu 30 kwa siku 2000x30 Mara 30 million Na kitu kwa mwezi bila Kodi Na midume mengine inavyopenda sifa inaweza kitoa zaid
 
Back
Top Bottom