Nimepeza majembe yangu mawili ushauri tafadhali nizike nguo au wenda wakarejea?

Nimepeza majembe yangu mawili ushauri tafadhali nizike nguo au wenda wakarejea?

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
11,301
Reaction score
12,952
Wakuu Mungu ndo kila kitu kwangu na ananijua vizuri nje na ndani , nami nashukuru kwa kila jaribio kwangu.

Vijana wangu walienda salimia siku ya tarehe 27 huko Misumi kwa siku mbili kwamba warejehe nyumbani tarehe 29 , ikiwa ni pamoja na kutimiza haki zao za kikatiba ,mpaka wanaagq iyo siku masiliano yalikuepo , ila sasa mpaka naongea nanyi wakuu nipo na msongo mkubwa wa mawazo na sio mie tu bali familia nzima.

Pamoja na juhudi zote vijana wangu sijawapata wakiwa maiti au wazima .
Wakuu nimevurugwa , sasa kama familia tunajiuliza tuzike nguo au tusubili .

Ndani ya siku chache mimi na famila yangu tumekonda kama sio kuisha .

Namkabidhi Mungu kisasi ichi
 
Pole sana mkuu.
Tujipange kulipiza kisasi.
Hatuwezi acha damu za ndugu zetu zimwagike bure.
Mkuu kwa mzazi yoyote ,unaanza kulea mimba then kanazaliwa katoto ,piga picha kanaanza kutambaa mara hako kanaanza kimbia mara la kwanza ,la saba na kuendelea then atoweka bila hatia yoyote, hawa niliwaita mapacha wa nje maana wamefutana sana ,mnajua shida za masomo unaweza zaa ukiwa umechelewa Sana .

Sasa katika watoto watatu nimebaki na mmoja tu , wakuuu nimevurugwa , week ya pili hatupati usingizi
 
Mkuu kwa mzazi yoyote ,unaanza kulea mimba then kanazaliwa katoto ,piga picha kanaanza kutambaa mara hako kanaanza kimbia mara la kwanza ,la saba na kuendelea then atoweka bila hatia yoyote, hawa niliwaita mapacha wa nje maana wamefutana sana ,mnajua shida za masomo unaweza zaa ukiwa umechelewa Sana .

Sasa katika watoto watatu nimebaki na mmoja tu , wakuuu nimevurugwa , week ya pili hatupati usingizi

Aiseeh! Noma sana
 
Mkuu kwa mzazi yoyote ,unaanza kulea mimba then kanazaliwa katoto ,piga picha kanaanza kutambaa mara hako kanaanza kimbia mara la kwanza ,la saba na kuendelea then atoweka bila hatia yoyote, hawa niliwaita mapacha wa nje maana wamefutana sana ,mnajua shida za masomo unaweza zaa ukiwa umechelewa Sana .

Sasa katika watoto watatu nimebaki na mmoja tu , wakuuu nimevurugwa , week ya pili hatupati usingizi

I can Feel U nilikua nampango wa kuanza kutafuta watoto 2025/2026 ila nimepause kwanza.

Nchi gani hii haisamini UHAI wa raia wake.

Angalia izraeli anahangaika 2Yrs now, kutetea watu wake walio uliwa na kutekwa, Inawezekanaje serikali yetu kufika hapa
 
Mkuu kwa mzazi yoyote ,unaanza kulea mimba then kanazaliwa katoto ,piga picha kanaanza kutambaa mara hako kanaanza kimbia mara la kwanza ,la saba na kuendelea then atoweka bila hatia yoyote, hawa niliwaita mapacha wa nje maana wamefutana sana ,mnajua shida za masomo unaweza zaa ukiwa umechelewa Sana .

Sasa katika watoto watatu nimebaki na mmoja tu , wakuuu nimevurugwa , week ya pili hatupati usingizi
Mungu awape faraja na nguvu muweze kuyashinda haya, poleni sana Mkuu.
 
Wakuu Mungu ndo kila kitu kwangu na ananijua vizuri nje na ndani , nami nashukuru kwa kila jaribio kwangu.

Vijana wangu walienda salimia siku ya tarehe 27 huko Misumi kwa siku mbili kwamba warejehe nyumbani tarehe 29 , ikiwa ni pamoja na kutimiza haki zao za kikatiba ,mpaka wanaagq iyo siku masiliano yalikuepo , ila sasa mpaka naongea nanyi wakuu nipo na msongo mkubwa wa mawazo na sio mie tu bali familia nzima.

Pamoja na juhudi zote vijana wangu sijawapata wakiwa maiti au wazima .
Wakuu nimevurugwa , sasa kama familia tunajiuliza tuzike nguo au tusubili .

Ndani ya siku chache mimi na famila yangu tumekonda kama sio kuisha .

Namkabidhi Mungu kisasi ichi
Pole sana mkuu.
 
Bado natafakari ningekua kwenye nafasi yako ndugu...poleni sana na Mwenyezi Mungu akawe faraja kwa familia yenu 😢🙏
 
Binafsi sipo tayari kwa maridhiano acha mbaya iwe mbaya
 
Back
Top Bottom