Nimepata sababu ya kutoacha Pombe...

Nyie AD na TF hili sredi la Pombe mmelihamishia kwenye mahaba?
 

kama ambavyo sikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuanza kunywa kopozz...ndivo ninavyokosa sababu ya msingi ya kuacha

long live tofali za kopo
 
kama ambavyo sikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuanza kunywa kopozz...ndivo ninavyokosa sababu ya msingi ya kuacha

long live tofali za kopo
Hahahhaha....tofali zinapoahamia bar...........

.................................................. ..Inauma sana aisee..................................................
 
Hahahhaha....tofali zinapoahamia bar...........

.................................................. ..Inauma sana aisee..................................................

:hand::hand::hand:........."Hodi" ya BAR haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:

 
:hand::hand::hand:........."Hodi" ya BAR haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:


Tofali haziuzwi bar

.................................................. ..INASIKITISHA sana aisee..................................................
 
Anayekunywa pombe asiache kunywa bali aache mambo mabaya anayofanya akilewa. Tukumbuke kuwa si kila aliyelewa anafanya mambo mabaya, kuna watu wakilewa ni full tabasamu na vicheko mpaka familia inafurahi. Pombe ni stimulant, ina-stimulate kile ambacho tayari kipo kichwani mwa mtu...
 
kama ambavyo sikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuanza kunywa kopozz...ndivo ninavyokosa sababu ya msingi ya kuacha

long live tofali za kopo
Kweli kabisa cr@p

Haina haja ya kutafuta sababu mwishoni, lets keep enjoying dem liquids

Leo ijumaa... sasa inakuaje?
 
hahahaaaaaa..... analeta utani kwenye pombe arifu, we acha nimtoe nyongo tu!!

..... Silence can be the loudest noise DRUNKARD CANNOT make!!!

Provocative.......

Super darling....


 
Imeandikwa....Usimpe pombe mfalme akaharibu hekima yake...bali pombe hupewa (kama sijasahau ni either wapumbavu au wajinga)..
kazi kwenu wanywa pombe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…