Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mbona unakwamaa...Nikajua itakufa nyan'ganyan'ga...??
Ikikufa tutaambia nini watu
Mbona unakwamaa...Nikajua itakufa nyan'ganyan'ga...??
I wish..Kwako ni kweli.
Ohooo samaki mwingine huyu amekutana na baharia ,tumpe mwezi tu atarudi hapa analialia na hizo ngonjera zake zote zitakuwa vice versa.
Mambo mengine mtuulize sisi kwanza tuwape experience.
Khaa..uje uchukue mb ebu.Nisimulie hebu
Mb zangu zitaisha au umechoka kuniona humu jf
kwa kukazia mnapokua pamoja usipendelee sana matumizi ya smart phone..na hta kama itawalazimu kupiga pcha basi hakikisha unakaa vizuri pcha itoke vizuri,usikae hovyo hovyo Jitahidi mpige wote picha usikubali kupiga pcha mwenyewe.Nakushauri mkiwa na Baby hakikisha PICHA isiwe utamaduni wenu..usipendelee sanaaa kupiga piga mapicha maana IPO siku picha yako mwenyewe utakua unaiogopa.
Hahhaha watu wachochezi nyieMtag dada.
Mtag aje shemeji jamani![]()
Mkigombana malizaneni huko huko! Mambo ya kuja kutuwekea picha sijui huyu hajui kutunza kucha vizuri, mara hana hela, hanukii vizuri hatutaki hapa





Hahahahahah chizi weweIlikua ya pm nimekosea siyo yake
HahahahahahaIla kuna wanaume hawapo serious kabisa.
Napenda kufuatilia dates saana hii ilinivunja mbavu.. kama una mb pita uisikilize.
Cc Sky Eclat Sakayo
Heaven Sent
Unaendeaje wewe eti dadaMmhh.![]()
Dudu la yuyuDhakari ni nini
Jamanii
Ohooo samaki mwingine huyu amekutana na baharia ,tumpe mwezi tu atarudi hapa analialia na hizo ngonjera zake zote zitakuwa vice versa.
Mambo mengine mtuulize sisi kwanza tuwape experience.
Umeskia anavyocheka...hahahHahahahahaha
Yaani huyo hayupo serious ila yupo serious
Yaanii wewe unafaa sana jamani.. Mbona sikukuzoea mapemaaKhaa..uje uchukue mb ebu.
Nawazia uzi utakavyokuwa cha kuhofu kisiwepo.Jamanii
Naomba kukuuliza..Ni wivu Tu, niache kwani nikijinyonga hasara kwa nani
![]()
Ajabu alikuwa akicheka na mimi nacheka!!Umeskia anavyocheka...hahah