Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Hahahahahaha
Mie sijakwamaa nachochea kuni hukuu...

Lini nikuandikie na wewe eti
Ebu fanya kesho bwana kabla haujaenda kanisani.

Uniachie comments niwe nakuna tumbo tu.
 
Wapo mabaharia kama wote jf, lakini pia kuna watu wema, usiconclude kwa namna wewe ulivyo basi wote wapo hivyo, generalization ndo inafanya hata watu wema kuonekana wabovu

Kama baharia hata mtaani wapo

So no matter ni wapi umekutana na mtu, mtu mwema atabaki kuwa mwema na baharia baharia ova
Ok, ENDELEA KUJIFANYA UNATUJUA VIZURI WANAUME KULIKO TUNAVYOJIJUA

KUMBUKA SISI NDO BINADAMU PEKEE TUNAOOGOPWA NA SHETANI
 
Back
Top Bottom