H hewa Member Joined Oct 27, 2012 Posts 35 Reaction score 14 Oct 18, 2014 #61 Mi sina comment nyingine zaidi na hayo wakuu walizotoa hapo juu, cha muhimu ni kubadilika na kuacha tabia zile za primary za nani kashika namba moja.
Mi sina comment nyingine zaidi na hayo wakuu walizotoa hapo juu, cha muhimu ni kubadilika na kuacha tabia zile za primary za nani kashika namba moja.
idoyo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2013 Posts 3,051 Reaction score 1,423 Oct 18, 2014 #62 Masterkey said: Naona ameanza ujivuni baada ya kupata kazi na kuacha kumshukuru mungu wake. Click to expand... duh! kweli sijaona neno mungu kwenye maelezo yake.
Masterkey said: Naona ameanza ujivuni baada ya kupata kazi na kuacha kumshukuru mungu wake. Click to expand... duh! kweli sijaona neno mungu kwenye maelezo yake.
idoyo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2013 Posts 3,051 Reaction score 1,423 Oct 18, 2014 #63 Elli said: Uje nikuelekeze matumizi yake. Usisahau fungu la kumi kwa Mungu na sio Guest na pombe Click to expand... hahaha! fungu la kumi atalijulia wapi wakati hata hajamshukuru mungu!!? kaishia kujigamba.
Elli said: Uje nikuelekeze matumizi yake. Usisahau fungu la kumi kwa Mungu na sio Guest na pombe Click to expand... hahaha! fungu la kumi atalijulia wapi wakati hata hajamshukuru mungu!!? kaishia kujigamba.
Zogwale JF-Expert Member Joined Jul 10, 2008 Posts 15,295 Reaction score 10,957 Oct 18, 2014 #64 Mtu na ka diploma anafoka kama povu la ngiri. Angekuwa na degree hata moja tu kusingetosha. Ama kweli.
Mtu na ka diploma anafoka kama povu la ngiri. Angekuwa na degree hata moja tu kusingetosha. Ama kweli.
O Offline User JF-Expert Member Joined Dec 20, 2010 Posts 3,828 Reaction score 2,395 Oct 19, 2014 #66 Umeongoza interview!! Wewe mkareeee jembe! Baada ya mwaka mmoja utapewa ukurugenzi! #pambaff
The observer JF-Expert Member Joined Sep 29, 2010 Posts 211 Reaction score 84 Oct 22, 2014 #67 Hongera kwa kupata kazi. Ila acha dharau