Nimepata fursa ya kwenda USA

chase amante

JF-Expert Member
Feb 24, 2018
5,551
2,073
Habarini wanajf,(Ndugu,kaka,Dada na wengineo).Kama kichwa cha habari,kinavyojieleza hapo juu.

Nimeipata fursa hiyo,kupitia tangazo la ajira nililolipata kupitia whatsup group.Tangazo lilitumwa na mmoja wa member mwenzetu,aliyejitambulisha kwa jina la Wamilse.Alijitanabaisha kua,yeye ni hiring manager wa kampuni ya PRINCESS CRUISES COMPANY,Lenye makao yake makuu California,USA.

Akasema kampuni,linatoa kila kitu ikiwepo Free visa,Free working permit,Free flying ticket ,Free meals na inabidi ulipie registration fee amounting to 350$ dollar.



Basi,nilimfuata inbox na kumweleza lengo langu la kutaka ajira,na akanipa maelezo yote ya kampuni,kua inajihusisha na usafirishaji wa majini ,na ipo na matawi mbalimbali ,na kwa hapa Africa wanatawi southafrica.


Akanambia kua malipo ya mshahara ni 7000$ dollar kama,minimum wage kulingana na sheria ya nchi.Na wanatoa 700$ dollar km kianzio bila malipo ya kodi yeyote kwa mwanzo.
Pia,jinsi utakavyozidi kuaminika na kujituma zaidi,utaongezewa mshahara.

Alinitumia application form,na nikaijaza.Na baadaye,nikamtumia.aliipokea na kuniagiza nilipe registration fee,ambayo nilimwambia ntailipa kesho.

Nilijaribu kuwasiliana na jamaa yangu,ambaye yupo Texas anasoma.nikamwambia ajaribu kunihakikishia kama jamaa yupo state,na km pia anafanya kazi kwenye hiyo kampuni.

Aliniambia,kua ni kweli jamaa yupo California,na ameajiriwa kwenye hiyo kampuni.na kwamba,niendelee na process ya kujaza application form na registration fee.

Tatizo,ni kwamba bado sijamwani yule hiring manager,kwakua bado sijatuma ile nusu ya 350$.

Naombeni ushauri,kwa mwenye experience ya ajira za USA na ,kwingineko.je ni fursa kweli,au ni utapeli?
 
HAKUNA AJIRA UNAYOTAKIWA KULIPIA WEWE KAMA APPLICANT.
Akupe maelezo hiyo $350 ni ya nini katika hiyo application. Wewe unatafuta ajira upate ujira, kwanini utozwe pesa?! Chuo pekee ndio nimewahi kusikia unalipia application fee, lakini sijawahi kusikia kazi yenye application fee, labda wagombea wa kisiasa.
Anyway angalia usiwe fursa.
 
HAKUNA AJIRA UNAYOTAKIWA KULIPIA WEWE KAMA APPLICANT.
Akupe maelezo hiyo $350 ni ya nini katika hiyo application. Wewe unatafuta ajira upate ujira, kwanini utozwe pesa?! Chuo pekee ndio nimewahi kusikia unalipia application fee, lakini sijawahi kusikia kazi yenye application fee, labda wagombea wa kisiasa.
Anyway angalia usiwe fursa.
Shukrani,mkuu
 
Hahahahahaa ya Magu kawafanya watu wawaze mbele kwa mbele tu.
Hahahaha kijana acha awe fursa ya watu kujipatia hela,hivi hata kujiuliza hawezi,watu wanaahidi watakulipa mshahara hadi USD 7000,kweli washindwe kukulipia ada ya visa USD 350?Jamaa kashindwa hata kujiongeza.
 
Lipia upesi kuliko haraka. Watz sasa ndio mnadhihirisha kuwa mnautaka mteremko wa Kitonga tu ila kuupanda hata bila mzigo hamtaki. Hebu piga hesabu sa darasa la kwanza. $350 X 100= 35000 yaani $ Thelathini na tano elfu. Fedha ya kufa mbwa hiyo. Sasa akituma ujumbe kwa mafala 1000 lazima watokee wenye kukamatwa sikio 200. Yaani mtu anakuwa tajiri asubuhi kabla ya jioni.
Muombe kwa kuwa mtapewe $700 chap chap akukopeshe hapo hiyo $350 halafu azikate kwenye mshahara wako wa kwanza. Nadhani weye ukienda huko utahamia kwake wala hutavaa boxer usiku bali utakuwa unajipaka mafuta ya mtelezo tu. Haya, nenda marekani kwa Trump umsalimia mzee shit hole
 
Back
Top Bottom