Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,785
- 40,544
Ndiyo maana huwa nnauliza una miaka mingapi? mwenyewe hapo ndiyo unajiona umefanya jambo la maana kweli?
ulichojiuliza nami pia huwa najiulza
Ndiyo maana huwa nnauliza una miaka mingapi? mwenyewe hapo ndiyo unajiona umefanya jambo la maana kweli?
hukulazimishwa na mtu kuona picha yangu kam hukuipenda sepa na njia panda......Ndiyo maana huwa nnauliza una miaka mingapi? mwenyewe hapo ndiyo unajiona umefanya jambo la maana kweli?
Ninafikiri mshajibiwa nyinyi wote wawili sina haja ya kuwajibu kama hamu kupendekezewa na picha zangu bora musepe na njia panda. Hili ni jukwaa la JF Picha sio jukwaa la Siasa au JF Doctor kwendeni na njia zenu. Na nyinyi wekeni picha zenu tuzione si kupenda kulaumu watu na maneno yenu ya pumba.ulichojiuliza nami pia huwa najiulza
Ndiyo maana huwa nnauliza una miaka mingapi? mwenyewe hapo ndiyo unajiona umefanya jambo la maana kweli?
Daaa we sis .....inamaana unataka muda wote unataka watu wawe serious na post ziwe za siasa wengine siasa ni zikokushoto ....
Hapo umenena Mkuu, ndala au kandambili aka malapa sio viatu, nadhani Mzizi Mkavu hajui Kiswahili Vizuri.Jamani hivyo siyo viatu ni ndala.mtoa mada katufumba na sisi tumeingia kingi. kamaanisha wezi wa viatu kaonyesha ndala zimefungwa kufuli what a conttast