Nimepata ajali, niombeeni wana JF

Nimepata ajali, niombeeni wana JF

Pole Mkuu,

Labda chakujiuliza, kwanini Dereva aliyekugonga kakimbia? Au ni kwa vile watu hujichukulia sheria mkononi pale inapotokea ajali hasa inayohusu Gari na Bodaboda au Bajaji?
 
POLE SANA. MWENYEZI MUNGU AKUPONYE HAYO MAJERAHA. AMIIN
 
pole sana mkuu.
Alafu kuwa makini na hiyo njia mida ya asubuhi.
Hiyo njia kuanzia kibada mpaka roundabout ya hapo mnadani kuelekea darajani asubuhi mida kama hii ninayo andika uwemakini sana.
Watu waaovateki bila wasiwasi wowote na imekuwa kama ndio kawaida sasa.
Kana huelewi utadhani wapo kwenye barabara ya njia mbili zinazokwenda sehemu moja.
Watu wanawahi makazini kuwa makini sana usishindanenao.

Kama unatumia hiyo njia kilasiku asubuhi unaelewa ninachoongea.

Pole sana.
Lakini amesema Mji Mwema kwenda Ferry
 
Yani mawenge
Pole sana! Wasiliana na wakala wa bima unayemtumia, watataka hizo picha na ikiwezekana kuikagua, na pia atakuja mtathimini aiangalie, na watapendekeza fundi wao naye athibitishe kama inatengenezeka na gharama zake, hapo ndio wataamua ulipwe pesa au itengenezwe, kutegemeana na kipi kina nafuu kwao.
 
Pole sana. Upande uliopigwa inaonyesha kweli ulikuwa unakwepa. Hivi hamna kamera zinazoweza kusaidia kumpata mhusika? Mji ungewekewa kamera.
 
Habari Jf

Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini.. natoka mji Mwema kwenda ferry kigamboni.

Nikiwa katika low speed ukizingatia hali ya hewa nikiwa upande wangu, gafra niliona artezza White imeovertake Iko mbele yangu,,,

Aisee, nilijitahidi kukwepa lakini alikuwa speed sana, baadae kakimbia sijui hata rangi ya gari, Nina maumivu kichwani na mguuni.


Bajaj yangu Ina Bima kubwa.
Askari wamepima na kuchora
Taratibu zingine zipoje nirudi kazini... View attachment 2558751View attachment 2558752View attachment 2558754
Aiseee pole sana mkuu. Hope utakuwa sawa soon.

Hayo maumivu make sure umeenda hospital.

Pia ushauri tu na kwa watu wengine. Tujenge utaratibu wa kufunga Dashcams. Incident kama hizo walau ukiwa na namba ya gari unakuwa na pakuanzia.
 
Pole sana kamanda huyo atalipwa na Karma bora angesimama ni vile watu hawajui miiko ya bara barani atakutana na mabalaa na wala hatojua chanzo nini?
 
Aiseee pole sana mkuu. Hope utakuwa sawa soon.

Hayo maumivu make sure umeenda hospital.

Pia ushauri tu na kwa watu wengine. Tujenge utaratibu wa kufunga Dashcams. Incident kama hizo walau ukiwa na namba ya gari unakuwa na pakuanzia.
Ahsante
 
Habari Jf

Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini.. natoka mji Mwema kwenda ferry kigamboni.

Nikiwa katika low speed ukizingatia hali ya hewa nikiwa upande wangu, gafra niliona artezza White imeovertake Iko mbele yangu,,,

Aisee, nilijitahidi kukwepa lakini alikuwa speed sana, baadae kakimbia sijui hata rangi ya gari, Nina maumivu kichwani na mguuni.


Bajaj yangu Ina Bima kubwa.
Askari wamepima na kuchora
Taratibu zingine zipoje nirudi kazini... View attachment 2558751View attachment 2558752View attachment 2558754
Pole sana Mkuu
Bwana na akuponye majeraha haraka na akakuinue tena kwenye kazi zako IJN
Tunakuombea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom