opondo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 545
- 1,346
Mimi ni mtumishi, Nilipata ruhusa ya kwenda masomoni lakini sikwenda kwasababu ya ukiritimba uliopo halmashauri kwamba ukienda masomoni basi uwezi kupanda daraja, na Mimi napanda daraja Mwakani, nimetimiza miaka mitatu ya ajira Sasa, naona nikasome kitu kingine, passion yangu ni Mambo ya computer, nimechungulia open university nimeona degree ya Information and Communication Technology nimeangalia zile course outline zote zinasomeka tu, sikuhuzi platform za kujifunza ni nyingi, Nimeomba open university na Masomo yanaanza Mwezi wa nne, nimejaribu kufatilia nimeona Malalamiko mengi sana kuhusu hiki chuo Cha open university,
Lengo langu ni kumaliza baada ya miaka 3, lakini nimeona watu kulalamika kwamba, ni ngumu kumaliza Kwa miaka mitatu, lecture ni wasumbufu, mtihani inapotea, wakufunzi wanaomba hela ya ziada na malalamiko Mengi zaidi.
Swali langu ni moja je hayo mambo yana uhalisia? Nifanyeje ili nimalize Kwa wakati, au niachane nayo niende tu mwakani nikasome kampasi?.….
Lengo langu ni kumaliza baada ya miaka 3, lakini nimeona watu kulalamika kwamba, ni ngumu kumaliza Kwa miaka mitatu, lecture ni wasumbufu, mtihani inapotea, wakufunzi wanaomba hela ya ziada na malalamiko Mengi zaidi.
Swali langu ni moja je hayo mambo yana uhalisia? Nifanyeje ili nimalize Kwa wakati, au niachane nayo niende tu mwakani nikasome kampasi?.….