SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Afadhali umemkumbusha mapema..Hii kesi ya kuota ndoto haina dhamana ujue we haya tu
Afadhali umemkumbusha mapema..Hii kesi ya kuota ndoto haina dhamana ujue we haya tu
naona ndoto yako imetimia japo ni nje ya muda ulioutaja....mbunge wa kilombero amefungwa jela kwa muda wa miez 6...baaada ya kubainika ya kua alifanya fujo kwny uchaguzi wa meya. ..Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
naona ndoto yako imetimia japo ni nje ya muda ulioutaja....mbunge wa kilombero amefungwa jela kwa muda wa miez 6...baaada ya kubainika ya kua alifanya fujo kwny uchaguzi wa meya. ..
Hakuna cha ndoto wala nini wewe ni miongoni mwa wapanga mipango ya kudhurumu haki za wapinzani na ulijua mpango huu mapema kabla ya hukumu maana mliupanga na kuujadili.
...Siyo lazima awe ni wa ndani sana. Alijua mwenendo wa kesi ile. Alijua siku ya hukumu. Akaota. Ikawa..wewe jamaa utakuwa mtu wa ndani sana
Hii kesi ya kuota ndoto haina dhamana ujue we haya tu
Mkuu Mzushi, kwanza Hongera, pili mimi nakuamini, na tatu nabii huwa hakubaliki nyumbani.Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
ndoto haziotwi otwi ovyo mkuu.....Hebu ota nyingine...ila this time iwe positive.
Ndoto imejibuHili jukwaa watu wanajitahidi sana kuota ndoto na ndoto zao huwa mara nying zinakuwaga ni za kweli.
Lakini ngoja tuone ndoto ya huyu jamaa itaishia wapi.