remtula waziri
Member
- Jan 8, 2017
- 5
- 0
Mbona ameshahukumia miezi sita hizo ndoto no za mwakani labda
Wewe wasema ndugu!! Mimi nasema tu kama tumeanza kupata waota ndoto kama enzi za wakina Daniel na Yusufu na ikawa basi unabii wako mkali.Punguza mihemko bwana mkubwa hivi wewe waniona Mimi mwehu sina uhusiano Na yeyote nasisitiza hiyo ni ndoto Na itabaki kuwa ndoto .hivi kwa nini watanzania mnakuwa kama Tomaso
Sina hints wala connection Na mtu yeyote bado narudia tena kwa msisitizo ilikuwa ni ndoto tu sioni cha ajabu hapo kwangu haiwezi kuwa Mara ya kwanza wala ya mwisho kuotaWewe wasema ndugu!! Mimi nasema tu kama tumeanza kupata waota ndoto kama enzi za wakina Daniel na Yusufu na ikawa basi unabii wako mkali.
Lakini kama ulipata hint na ndiyo ukatoa hii mada basi take care tracing au tracking yake inaweza ikawaponza walikuwa hii hint.
Nadhani kwa ndoto zako unaweza hata ukaota kujua matukio makubwa ya nchi hii.hongera sana
Hapo kwa "simon siro" ndo alitisha sana.
Huyu asije kuwa ndiye kaka mkubwa pale jengo jeupe.Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
We ndiye hakimu niniWakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Basi kwa ushauri tu maana una uhakika na ndoto zake ni vizuri ukawa unatoa muelekeo wa matukio ya nchi ili watu wajiandae kisaikolojia humu JF au hata ktk media zingine.ushauri tu.Sina hints wala connection Na mtu yeyote bado narudia tena kwa msisitizo ilikuwa ni ndoto tu sioni cha ajabu hapo kwangu haiwezi kuwa Mara ya kwanza wala ya mwisho kuota
Duuh....imetokea wiki hii..Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Siasa kifungu gani?Hapo ni siasa imetukika sio sheria.
Wabunge wenye kesi ni wa upinzani tu, kwa hiyo polisi haliwahusu. Ingekuwa wa ccm haa saa hizi angekuwa jelaHuu ni uchochezi angalia sana kama polisi haijamka na wewe asubuhi.