Hii maana yake nini? Naomba msaada.
Usiniite mchumba wakati unaninyima hela 😁😁Mchumba tulia😃
Radiotherapy ndo zao ili kutoa mionzi kifuaniHuyu nilimpiga kubaya na sasa kaanza kutema cheche..
It was just a matter of time, wewe hata ukunga siamini kama unao..
Huyu anafanya kazi monchwari huyu... 😂 😂
Sio kwa kulewa kila muda ili kujaribu kufuta kumbukumbu.
We huoni siku hizi ndo kawehuka kabisa?
Aseme ukweli tu ya kuwa mbege inampeleka kubaya, si ndio min -me
Radiology kumbe? Huyo kadhaathiriwa na mionzi. 🤣Radiotherapy ndo zao ili kutoa mionzi kifuani
Kazi ngumu sanaSure😄
Sana mkuu mi kwako huwa nipo positiveKiroho au😄
Kwa nini bwashee , sema wengine wajifunze😅Nursing officer na degree yako ukiwekwa TAMISEMI ya hovyo utajuta kubababake.
Ila ukinasa pale Mhimbili, BMC, BMH lazima ujiulize kwanini wengine hatujasomea unesi wakati wewe unakula maisha
Ah 😂 we mwenye uzi toa ushuhuda kama umewahi kukaa TAMISEMI ila kama haujawahi ngoja aje mwingine.Kwa nini bwashee , sema wengine wajifunze😅
Kula maisha mkuuBwashee , tamisemi mbona kama tupo vizuri 😆😆😆