Nimeona reply ya rafiki mmoja kuhusu JF

Nimeona reply ya rafiki mmoja kuhusu JF

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,554
Reaction score
168,624
de Gunner nimeona reply yako , unasema mimi ni daktari nisiye na kitu , nikitoka kazini napitia bar kulewa tu , ndio nasumbua jf🤣

Mimi kweli asili yangu ni nurse, mimi ni muuguzi na mkunga , MD ndio nimeanza kusoma juzi tu , kwa sababu nilipata gs f tu , same boys kipindi hicho😅

Kitu kinaniingizia madola ya pesa za kutisha mpaka sasa ni midwife & nursing , hizi fani hii ndio tunakimbiza kwa pesa sasa hasa kimataifa , na ukiwa umetokea afrika acha kukaaa kifala, diaspora wa na mamana hii hawafuki 20 kwa Tanzania.
 
20260317_191215.jpg
 
de Gunner nimeona reply yako , unasema mimi ni daktari nisiye na kitu , nikitoka kazini napitia bar kulewa tu , ndio nasumbua jf🤣

Mimi kweli asili yangu ni nurse, mimi ni muuguzi na mkunga , MD ndio nimeanza kusoma juzi tu , kwa sababu nilipata gs f tu , same boys kipindi hicho😅

Kitu kinaniingizia madola ya pesa za kutisha mpaka sasa ni midwife & nursing , hizi fani ndio tunakimbiza kwa pesa sasa hasa kimataifa , na ukiwa umetokea afrika acha kukaaa kifala
IMG-20260812-WA0013.jpg

Naona de gunner mpaka hapa Kesha poteza PAMBANO

Mwanangu min me Mimi naenda mwagilia moyo mziki kwa mbalii
 
View attachment 3666881
Naona de gunner mpaka hapa Kesha poteza PAMBANO

Mwanangu min me Mimi naenda mwagilia moyo mziki kwa mbalii
Kitu kinaniingizia madola ya pesa za kutisha mpaka sasa ni midwife & nursing , hizi fani ndio tunakimbiza kwa pesa sasa hasa kimataifa , na ukiwa umetokea afrika acha kukaaa kifala

Huyu nilimpiga kubaya na sasa kaanza kutema cheche..

It was just a matter of time, wewe hata ukunga siamini kama unao..

Huyu anafanya kazi monchwari huyu... 😂 😂

Sio kwa kulewa kila muda ili kujaribu kufuta kumbukumbu.

We huoni siku hizi ndo kawehuka kabisa?

Aseme ukweli tu ya kuwa mbege inampeleka kubaya, si ndio min -me
 
Back
Top Bottom