dosho12 JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 3,698 Reaction score 9,830 Feb 24, 2026 #2 Kabisa tena jamaa alikuwa na point za maana, kuwa duniani kila mtu ana ubaya na anachagua kusaidia watu anaowapenda kwanza
Kabisa tena jamaa alikuwa na point za maana, kuwa duniani kila mtu ana ubaya na anachagua kusaidia watu anaowapenda kwanza
dosho12 JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 3,698 Reaction score 9,830 Feb 24, 2026 #3 Mtu mwingine ni Thanos kwenye avengers naye pia alishaini
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,584 Reaction score 103,184 Feb 24, 2026 #4 Hiyo movie Sijaangalia ila n mzuri knoma nimependa hasa pale sterling alipokuwa anapambana na adui
Mlundilwa Jr JF-Expert Member Joined Dec 11, 2019 Posts 3,413 Reaction score 5,311 Feb 24, 2026 #5 dosho12 said: Mtu mwingine ni Thanos kwenye avengers naye pia alishaini Click to expand... Avenger sikupendq walivyoimaliza
dosho12 said: Mtu mwingine ni Thanos kwenye avengers naye pia alishaini Click to expand... Avenger sikupendq walivyoimaliza
dosho12 JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 3,698 Reaction score 9,830 Feb 24, 2026 #6 Mlundilwa Jr said: Avenger sikupendq walivyoimaliza Click to expand... Kwa nini mkuu, ulitaka waimalizaje
Mlundilwa Jr said: Avenger sikupendq walivyoimaliza Click to expand... Kwa nini mkuu, ulitaka waimalizaje
Mlundilwa Jr JF-Expert Member Joined Dec 11, 2019 Posts 3,413 Reaction score 5,311 Feb 24, 2026 #7 dosho12 said: Kwa nini mkuu, ulitaka waimalizaje Click to expand... Jinsi wapigania Dunia walivyogeuka kuwa Mchanga yaani hadi Dr Stranger
dosho12 said: Kwa nini mkuu, ulitaka waimalizaje Click to expand... Jinsi wapigania Dunia walivyogeuka kuwa Mchanga yaani hadi Dr Stranger
Mlundilwa Jr JF-Expert Member Joined Dec 11, 2019 Posts 3,413 Reaction score 5,311 Feb 24, 2026 #8 Nilitamni Thanos afe chaajabu sijui waliteleza wapi
dosho12 JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 3,698 Reaction score 9,830 Feb 24, 2026 #9 Mlundilwa Jr said: Jinsi wapigania Dunia walivyogeuka kuwa Mchanga yaani hadi Dr Stranger Click to expand... Hukuangalia Avengers End game mkuu, kulikuwa na mwendelezo wa kuwarejesha wote waliopotea na thanos akafa mwishoni
Mlundilwa Jr said: Jinsi wapigania Dunia walivyogeuka kuwa Mchanga yaani hadi Dr Stranger Click to expand... Hukuangalia Avengers End game mkuu, kulikuwa na mwendelezo wa kuwarejesha wote waliopotea na thanos akafa mwishoni
Mlundilwa Jr JF-Expert Member Joined Dec 11, 2019 Posts 3,413 Reaction score 5,311 Feb 24, 2026 #10 dosho12 said: Hukuangalia Avengers End game mkuu, kulikuwa na mwendelezo wa kuwarejesha wote waliopotea na thanos akafa mwishoni Click to expand... Wewe unasema kweli?...Dah ngoja nikaisake mkuu..basi nikajua ndiyo ilishia pale... Daah! Tatizo nipo mbwinde huku hata hiyo niliigumia tu mahala nikaipenda ndipo nikaifuatilia mwanzo mwisho na nikajua imeishia pale.
dosho12 said: Hukuangalia Avengers End game mkuu, kulikuwa na mwendelezo wa kuwarejesha wote waliopotea na thanos akafa mwishoni Click to expand... Wewe unasema kweli?...Dah ngoja nikaisake mkuu..basi nikajua ndiyo ilishia pale... Daah! Tatizo nipo mbwinde huku hata hiyo niliigumia tu mahala nikaipenda ndipo nikaifuatilia mwanzo mwisho na nikajua imeishia pale.
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,709 Feb 24, 2026 #11 Aminesh Pool jambazi bora la wakati wote.
ELI COHEN JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 9,375 Reaction score 28,484 Feb 25, 2026 Thread starter #12 dosho12 said: Kabisa tena jamaa alikuwa na point za maana, kuwa duniani kila mtu ana ubaya na anachagua kusaidia watu anaowapenda kwanza Click to expand... 💯 Kuna wakati yule mzee wa batman anamuambia batman kwamba kuna watu ambao hawapo kwa ajili ya pesa au starehe, wanataka tu kuiona dunia ikiungua. Alikuwa anamzungumzia joker, .maana hata batman alshindwa kumuelewa kabisa😁
dosho12 said: Kabisa tena jamaa alikuwa na point za maana, kuwa duniani kila mtu ana ubaya na anachagua kusaidia watu anaowapenda kwanza Click to expand... 💯 Kuna wakati yule mzee wa batman anamuambia batman kwamba kuna watu ambao hawapo kwa ajili ya pesa au starehe, wanataka tu kuiona dunia ikiungua. Alikuwa anamzungumzia joker, .maana hata batman alshindwa kumuelewa kabisa😁
Liverpool VPN JF-Expert Member Joined Aug 29, 2020 Posts 7,577 Reaction score 17,718 Feb 25, 2026 #13 Mlundilwa Jr said: Avenger sikupendq walivyoimaliza Click to expand... Haijaisha Inakuja nyengine #YNWA #YANGA_BINGWA
Mlundilwa Jr said: Avenger sikupendq walivyoimaliza Click to expand... Haijaisha Inakuja nyengine #YNWA #YANGA_BINGWA