My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Wakuu mjumbe hauawi, naleta ujumbe Kama nilivyouona ktk ulimwengu wa Roho
1.Jiwe hataachia madaraka hata muda ukiisha
2.CHADEMA itachukua dola baada ya jiwe kutolewa balu na nguvu ya umma
3.Watu wengi hasa wanaharakati na wanasiasa watapotea huu mwaka
4.Kigogo2014 ataponza wengi mno miongoni mwa MATAGA
5.CHADEMA ikichukua dola Kigogo 2014 ataibuka wote wamjue na hakika hawataamini
1.Jiwe hataachia madaraka hata muda ukiisha
2.CHADEMA itachukua dola baada ya jiwe kutolewa balu na nguvu ya umma
3.Watu wengi hasa wanaharakati na wanasiasa watapotea huu mwaka
4.Kigogo2014 ataponza wengi mno miongoni mwa MATAGA
5.CHADEMA ikichukua dola Kigogo 2014 ataibuka wote wamjue na hakika hawataamini