Nimeona katika ulimwengu wa Roho

Nimeona katika ulimwengu wa Roho

Mbona kuna wauaji hukimbilia makanisani wakijifanya pia ni wa kiroho? Mbona hao huwasemi? Au kwakuwa jamaa kakugusa? Maana wakisifiwa upande wenu mnafurahi sana kiasi cha kutokuona uovu wao. Mmekuwa vipofu na wajinga, kila kitu kusufia tu na kutukuza kuliko hata mnavyomtukuza Mungu
Na Kwa kweli umenipatia mkuu,
Kwa maana siwezi kuponda bila sababu na pia siwezi kusifia bila sababu, nimeamua kuwa huru zaidi sifungwi na Mila Mimi

Shauri yenu mnaofungwa na Mila na desturi

Na mada iliyopo ni maono ya huyo mwenzako sio hao unaotajataja, hapo unakuwa ni Nje ya mada, na istoshe mchango wangu haumbagui yeyote mwenye vitu vya kijinga kuvilinganisha na vitu visivyolinganishwa, haijalishi ni nani
 
Wakuu mjumbe hauawi, naleta ujumbe Kama nilivyouona ktk ulimwengu wa Roho
1.Jiwe hataachia madaraka hata muda ukiisha
2.CHADEMA itachukua dola baada ya jiwe kutolewa balu na nguvu ya umma
3.Watu wengi hasa wanaharakati na wanasiasa watapotea huu mwaka
4.Kigogo2014 ataponza wengi mno miongoni mwa MATAGA
5.CHADEMA ikichukua dola Kigogo 2014 ataibuka wote wamjue na hakika hawataamini
Jipe moyo. A
 
Kwenye ulimwengu wa roho, kuna Roho, na liroho au maroho!. Roho ni moja tuu, ni omnipotent, omniscience na omnipresence, ni liroho ni mengi,
The dividing line between Roho na liroho is very thin, ili uweze kutofautisha Roho na liroho, ni lazima uwe umejaaliwa neema ya utambuzi, niki alichokisema huyu mleta mada ni liroho tuu!, nothing will happen!.
P
Hah hah haaaaaaa wee jamaa umenifanya nicheke kifala asubuhi hii
 
Back
Top Bottom