BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
We ingia tu utajua humohumo,kabila la nini
Hongera sana mkuu, tutakuombea, nina imani ulifurahia sana siku ya harusi, wanyamwezi huwa wana nyimbo nzuri sana za harusiTaratibu zote nilizifuata, Wazazi wa Binti wakaridhia, matakwa yao nikatekeleza, ndoa ikafungwa, harusi ikafanyika. Mwenyezi Mungu atukuzwe, sasa naishi na Mke wangu, tuombeeni upendo, amani na furaha ndugu zangu wana Jf. Ahsanteni.
Taratibu zote nilizifuata, Wazazi wa Binti wakaridhia, matakwa yao nikatekeleza, ndoa ikafungwa, harusi ikafanyika. Mwenyezi Mungu atukuzwe, sasa naishi na Mke wangu, tuombeeni upendo, amani na furaha ndugu zangu wana Jf. Ahsanteni.
Wadau kwa heshima na taadhima nawapa salamu!
Katika pitapita zangu nimeona Jiko linalonifaa kwa Wanyamwezi, tafadhali anayefahamu taratibu za kupata Jiko kwa Wanyamwezi anipe ujuzi ili nijitokeze kwao.
Natanguliza shukrani zangu za dhati!!!
Mkuu i have no doubt Limbwata linakunyemelea!
Kipipi dua zako juu yetu sisi Mungu amezipokea kwani kila jambo Mungu amelifanyz jema kwetu. nawe pia nakuombea mema.
He Kaunga kumbe Shem? Tunaendelea vizuri ndio mana nimerudi tena hapa la sivyo ningesepa kimyakimya, hakuna limbwata wala nini, mambo safi!!!
Nimefurahi sana kusikia hivyo shem, unao wengi tu humu mashem zako. Kama kawaida yetu, wako cool mcharuko mimi tu! LOL