kashesho
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 4,974
- 2,492
Mwana mke mwenye makalio makubwa (yasiwe kama ugonjwa) anavutia kimuonekano kuliko mwanamke mwembamba. Akatizapo mwanamke mwenye ---- lililo jaa vizuri sawa na mwili wa muhusika kila kidume lazima kigeuke kumuangalia haijalishi ni mavazi gani aliyo vaa hata avae na kujitanda khanga huku kichwani kabeba gunia la mkaa na jasho likiwa lina mmwagika bado vidume tuta pagawa,wapo watakao jikwaa na wapo watakao vunja shingo kwa kumsororea bila kusahau sisi wengine wenye ugonjwa na viumbe dizine hiyo tutajawa na mate midomoni kama tuna mimba changa. lakini kimbau mbau (maumbo ya kimisi) hata avae chupi tu hato angaisha roho za watu wengi, ispokua macho yameumbwa bila pazia kwahiyo watu hawataacha kumuangalia na ukizingatia kavaa chupi.
kwa hiyo inakuwa ni fahari ya macho tu basi? au unavyoangalia unawaza nini hasa