hiyo nayo mupya
hizi zikiwepo zitatuharibia
Heheheeeehahaaaaaaaaaaaaaaaa
Juzi jamani nilimsindikiza wife kununua nguo town,in fact alihitaji mlizi fulaani hivi!
Alinipeleleka duka la nguo za ndani ili achukue mzigo....cha ajabu nilishuhudia dada mmoja toka mkoa akichukua chupi ambazo zimetuna nyuma dozen nyingi tu !
Nikahoji hii ndio nini !....nikaambiwa naishi wapi !
Hizo eti nichupi za kumfanya mwanamke aonekana anamakalio makubwa!zimewekwa kasponji fulani hivi
sio hiyo tu pia kuna vikaptula vya kumfanya mtu aonekane ana hips za haja!
Ama kweli hii ni dunia ya urembo
Tatizo ni nyie wanaume,mnataka wamama waliojazia i.e ------ na mapaja makubwa. Sasa mlitaka wafanyeje?
heheheeee
hebu ingia google search "enhancing underwear for men" utaziona ... Watu wabunifu kukabiliana na aibu, duh.
Juzi jamani nilimsindikiza wife kununua nguo town,in fact alihitaji mlizi fulaani hivi!
Alinipeleleka duka la nguo za ndani ili achukue mzigo....cha ajabu nilishuhudia dada mmoja toka mkoa akichukua chupi ambazo zimetuna nyuma dozen nyingi tu !
Nikahoji hii ndio nini !....nikaambiwa naishi wapi !
Hizo eti nichupi za kumfanya mwanamke aonekana anamakalio makubwa!zimewekwa kasponji fulani hivi
sio hiyo tu pia kuna vikaptula vya kumfanya mtu aonekane ana hips za haja!
Ama kweli hii ni dunia ya urembo
we nenda Kariakoo kwenye maduka ya vyupi uliza chupi mchina!Nimeshindwa kuamini bado.
Nataka kuapply Tomaso style
Nikatazame duka gani hapa bongo na zinaitwaje?