Nimeona chupi ya ajabu!

Nimeona chupi ya ajabu!

Likiwa kubwa stim/genye zakutosha,km vle full magazine smg!ni mchekecho2!kwa we unalo pia!!
 
Juzi jamani nilimsindikiza wife kununua nguo town,in fact alihitaji mlizi fulaani hivi!
Alinipeleleka duka la nguo za ndani ili achukue mzigo....cha ajabu nilishuhudia dada mmoja toka mkoa akichukua chupi ambazo zimetuna nyuma dozen nyingi tu !
Nikahoji hii ndio nini !....nikaambiwa naishi wapi !
Hizo eti nichupi za kumfanya mwanamke aonekana anamakalio makubwa!zimewekwa kasponji fulani hivi
sio hiyo tu pia kuna vikaptula vya kumfanya mtu aonekane ana hips za haja!
Ama kweli hii ni dunia ya urembo

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni, hii yote ni sisi wa kaka kupenda Makalio Makubwa. Hilo ni Janga la Wababa.
 
Na masimango haya tutajaladia hadi miguu. Usisahau kujichubua manake mwanamke mzuri lazma mweupe japo ubuyu unapakwa rangi!
Tatizo ni nyie wanaume,mnataka wamama waliojazia i.e ------ na mapaja makubwa. Sasa mlitaka wafanyeje?
 
  • Thanks
Reactions: Paw
heheheeee
hebu ingia google search "enhancing underwear for men" utaziona ... Watu wabunifu kukabiliana na aibu, duh.

alafu ukienda chumbani unakuta kitu kama betri ya remote duh unaweza uzimie.
 
Juzi jamani nilimsindikiza wife kununua nguo town,in fact alihitaji mlizi fulaani hivi!
Alinipeleleka duka la nguo za ndani ili achukue mzigo....cha ajabu nilishuhudia dada mmoja toka mkoa akichukua chupi ambazo zimetuna nyuma dozen nyingi tu !
Nikahoji hii ndio nini !....nikaambiwa naishi wapi !
Hizo eti nichupi za kumfanya mwanamke aonekana anamakalio makubwa!zimewekwa kasponji fulani hivi
sio hiyo tu pia kuna vikaptula vya kumfanya mtu aonekane ana hips za haja!
Ama kweli hii ni dunia ya urembo


waache wahangaike tu ,wazoefu huwa tunayajua ya kujaladia na ndembendembe asilia mkuu.....
 
Nimeshindwa kuamini bado.
Nataka kuapply Tomaso style
Nikatazame duka gani hapa bongo na zinaitwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom