Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Habari zenu wakuu.
Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.
Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).
Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.
Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.
Shukrani kwa msaada.
Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.
Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).
Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.
Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.
Shukrani kwa msaada.