TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
Je unapiga namba gani? Muda gani? Tupatie yakwako tukupigieSa
Samahani hivi hizi namba za huduma kwa wateja tabata, zina matatizo gani, kila ukipiga zinatumika mwezi mzima!!!! Unaweza kupiga toka asubuhi hadi usiku unaambiwa zinatumika!!! Inakuwa haina haja sasa ya kuwa na namba hizo
Sent using Jamii Forums mobile app