Kipindi hiki cha mvua nimewasiliana na Tanesco nikiomba msaada wa huduma. Kila wakati jibu ninalopewa ni kwamba mvua zimeharibu sehemu nyingi. Kuna wateja kibao wanahitaji huduma yetu, vumilia.
Naamini bado hawajifahamu, bado hawajui wako katika biashara na raia. Majibu ya ofisini wakisubiri kupanua huduma bila huduma kwa wateja, hii ni aibu.
Naamini bado hawajifahamu, bado hawajui wako katika biashara na raia. Majibu ya ofisini wakisubiri kupanua huduma bila huduma kwa wateja, hii ni aibu.