denial ya kuogofaya kabisa!
hii ni case moja tu!
but zipo 30093388383 za aina hii!
bahati mbaya waume ni hawa hawa tunaojazana nao humu!
YET watu wamekazana wanawake timizeni wajibu wenu
katika,mpikie mume,oga ,kuwa msafi,sijui mbembeleze and all crap!
TUNAKATAA KUTIZAMA TATIZO HASA LIKO WAPI?
huyu anakiri kabisa mimi ni mke mwema,najitahidi kwa nafasi yangu!
ila kuna one two na three!MUME UKIMUULIZA ATAKWAMBIA MKE WANGU ANA GARI,ANA NYUMBA,NASOMESHA WATOTO,NASOMESHA NDUGU ZAKE ,NALIPA DSTV,NAMTIBU MAMA YAKE INDIA!
jamani wake zenu WANGEYATAKA HAYO WANGEOLEWA NA SHIRIKA LA KUSAIDIA WASIOJIWEZA DUNIANI(SKW) ,enh manake mtu his MANHOOD ANAIPIMA KWA MZANI WA NAMNA GANI MFUKO WAKE UNATOBOKA?
YET watu wamkee hapa kumlaumu huyu?