Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Mbona haya maneno ni kama sheria
![]()
Ndio sheria yangu
Mbona haya maneno ni kama sheria
![]()
Kwamba asimamishe mchakato wa kutoa mahariBwana mdogo huo ushauri wako ungekuja kutuomba kabla ya kumuoa huyo singeli maza nadhani ingekuwa vizuri zaidi,, ila kwa kuwa ushamuoa, nakushauli kama mahari kama hujamalizia kulipa sikilizia kidogo hata miezi sita alafu ndo umalizie

Kwanini unasema hivyo mkuu?Huu ni utoto, unaonekana bado mdogo sana au akili haijakua
Wadada wengi wamejikatia tamaa.Huyu nae muoaji chenga tuu ni bora angemchukua huyu mtoto akamlea tuu hakuna shida yeyote tena angekuwa amemuwin mama yake asilimia mia! Mwanamke akitaka kukitembeza atakitembeza tuu wala si mpaka amtafute aliyezaa nae.....
I bet hawa lazima washindwane mapema na huyu ni mwanamke wa ajabu sana yani mtoto wa miaka miwili unamuacha kisa kukimbilia ndoa....
Acha masihara badiKizuri unaoa kwa utashi wako haina shida ila kibaya ni kwamba umejichanganya shabani Kaoneka![]()

Wapj nimesema mtu akizaa anakua na akili!??Kuzaa hakufanyi mtu kuwa na akili
Habarini wakuu,
Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.
Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.
Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Nakuuunga mkonoWatu mnamaneno ya shombo humu, eti kwamba ana mikosi kisa tu kaoa single maza. Mie hata leo ikitokea la kutokea labda nimefikia muda natakiwa kuoa upya nitaoa single mother. Hawa watu wana akili sana kwenye maisha.
Kumbe ndio hivyo??Akiamua mwanamke kuchepuka anachepuka tu
Jiandae kujinyongaHabarini wakuu,
Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.
Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.
Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Si ndio hapo sasa! Ndio tulivyo binadamuUtafikiri yeye kakamilika


hili nalo neno single mothers wengi wamejikatia tamaa na maisha ila km mmependana kweli na mnamalengo sawa kikubwa kuishi na kuvumliana na unaweza kuta ndoa yako inadumu kweli kweli kuliko ambayo sio ya single mother pia mungu anakupa baraka manakr umemstiri bibie watu.Wadada wengi wamejikatia tamaa.
Akiambiwa lolote ili tu aolewe atafanya.
HaswaaaaKwamba asimamishe mchakato wa kutoa mahari![]()
Uishi Maisha marefu mkuuMi nakushauri kila mwezi uwe unakatumia hako katoto kake 10,000 kama posho ya kumpoza mama mkwe wakati nyie mnabingirika
Uishi Maisha marefuhili nalo neno single mothers wengi wamejikatia tamaa na maisha ila km mmependana kweli na mnamalengo sawa kikubwa kuishi na kuvumliana na unaweza kuta ndoa yako inadumu kweli kweli kuliko ambayo sio ya single mother pia mungu anakupa baraka manakr umemstiri bibie watu.