kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,562
- 2,628
Wakuu Habari zenu kuna jamaa yangu mtu wa visiwani muajiriwa sekta binafsi sasa kutokana na umri kusogea akaws anahitaji wife ikabidi akaoe kwao visiwani zenji akajipatia mke bikra wakaa kwenye uchumba miezi 6 bila kukutana kimwili wakaamua kufunga ndoa ya kiislamu baada ya ndoa wakaanza maisha kwenye nyumba ya wazazi wa jamaa maana ilikuwa kubwa wakampa chumba jamaa sasa tatizo linakuja binti hataki kushiriki kingono na jamaa baadaa ya kutolewa bikra anadai hana hamu naye,kampa wiki mbili tena kwa mbinde kuna Siku jamaa alishika kisu anamtishia binti ampe mpaka akafanikiwa kumuingilia,kuanzia hapo jamaa kila akijarobu kuomba gemu kwa binti hataki binti anakuwa mwekundu hataki kuguswa na jamaa,ikabidi jamaa ampige talaka binti japo jamaa kamuoa kwa Mali ya million moja na wazazi wa jamaa wakawatenganisha vyumba hawataki binti arudi kwao maana wameoana mwezi wa sita mwaka Jana,je binti ana tatizo gani mpaka anakataa kushiriki tendo la ndoa kiumri ana miaka 18 na jamaa 26